Babu wa Loliondo sasa yuko hatarini...


.
Nipo kwwenye engo ya ubize kama sivyo tungeelimishana
kwa hili. Pastor Chriss mbona ana doctor wake na anafahamika?. Hivi hamna watu waliowahi kufa katika njia ya imani yenu? Hayo maradhi yaliyawasababishia kifo yalitoka wapi? Au anataka kutuaminisha walilala wazima kabisa kiafya ila wakafia usingizini?
Sikatai uwezo mkuu wa nguvu za Bwana Yesu, na sijawahi kumwekea mipaka, ila napingana na wahubiri wanaofikiri Mungu huwasikiliza wao na wala sii wao kujisalimisha kwake.
.
 
Kama unaamini biblia iamini yote; it does not matter kasema Pr. Chris au mimi Ame au mwingine. Je haya anayosema hayajaandikiwa? Kama yamo humo sasa kama unadai unaamini kwanini yasiwe kama yalivyo semwa? Is either Jesus is the liar or a truth if He is true and Amen basi tukishindwa kuishi imani yetu si kwamba haiwezekani bali sisi tumeshindwa na yeye atabaki kuwa kweli maana hata kabla ya aliyoyasema kuwa documented aliishi hivyo. Je ulishawahi sikia Yesu aliugua? Kama huamni hivyo ni bora zaidi kwani Mungu ataona ndani yako huna imani na atakupa neema. Lakini ukiwa unaamini sehemu na mengine huamini unakuwa vugu vugu na Mungu atakutapika. Neno kubwa kuliko yote ni hili katika INJILI "YOTE YA WEZEKANA KWAKE YEYE AAMINIYE" Si baadhi ya mambo bali yote! Ibrahimu ambaye ni baba wa Imani ni demonstration ya kuwa hakuna kisichowezekana kwake yeye aaminiye. Je Unaamini na unaamini nini? Imani huja kwa kusikia na kusikia huja kwa neno la Mungu. Haijalishi Pr. Chris ana doctor au hana he is just a humanbeing but we have a true reference Jesus himself nad His life on earth. He is the same yesterday today and forever amen.
 
 
wachangiaji tupunguze jaziba tunapochangia, jua tunapochangia ndo tunajenga vinginevyo tutakuwa tunabomoa.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…