X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Kwani hao, wewe na Yahya Hussein mna tofauti gani!? Wote fungu lenu moja.Una uhakika na hili? mbona kwenye Kitimoto tunawaona akina "Juma" wengi tu ilhali wanafahamu wazi kuwa Kitimoto na haramu?