Na je,watu wanaoacha madaktari wa hospitali hii na kwenda nyingine ni kosa si kosa?jibu utakalo lipata liwe jibu la hapo juu!!hapo kwenye red ni hatari!
mtu akijinyonga ni kosa ua si kosa? watu wanaoacha madaktari na kwenda kwa babu ni sawa na kujinyonga. Wanapaswa kulindwa au kushitakiwa kwa kutaka kujiua.
hapo kwenye red ni hatari!
mtu akijinyonga ni kosa ua si kosa? watu wanaoacha madaktari na kwenda kwa babu ni sawa na kujinyonga. Wanapaswa kulindwa au kushitakiwa kwa kutaka kujiua.
1.Kwani kuna takwimu za kuonyesha kuwa wanaokufa kwa babu ni zaidi ya wanaopona?. Wanaokufa njiani si jukumu la babu kama vile lisivyokuwa jukumu la hospitali1. Ila nadhani serikali ya TZ inatakiwa kuchukulia hatua. Kama watu wanakufa hospitali, ao njiani wakienda hospitali, angalao idadi ya wanao pona inaonekana kua juu.
Kwa kesi ya Babu Kwanza ni kama hakuna daktari alie jitokeza kuhakikisha kua asilimia kubwa ya wagonjwa walipona, na wachache tu ndio waripotiwe katika vifo.
Pili, ingawa Babu mwenyewe anasema wagonjwa wasiache dawa za hosii, anasema anaponya. kusema tu hivo ni sawa na kuwaambia watu waache dawa, na hiyo inawapelekea kufa.
Tatu, kweli serikali imejaribu kuweka order pale, ila mazingira bado hayaswihi kwa kuwahudumia wagonjwa.
Kwa sababu zote hizo mimi ningeshahuri Babu apigwe suspension, 4 dawa yake ifanyiwe uchunguzi kujua kama inadhuru.. .