Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

usser

JF-Expert Member
Sep 25, 2015
13,917
13,934
Mbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.

Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe

Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
Screenshot_2024-05-26-15-30-56-649_com.instagram.android.jpg
 
Kamanikweli maanayake ni mill 40.
Je, kama angeamua kujenga darasa moja ama kununulia vitanda vya wagonjwa hospital, hiyo pesa ingesaidia wananchi wangapi katika eneo husika jimboni na kwamuda gani!.

Nakwakuwapa wajumbe elf 50 inamsaidia mjumbe nini na kwamuda gani.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom