Je ikitokea watu hawa wawili wakashindwa kutimiza masharti au matarajio ya kutolewa nje ya kifungo cha maisha wanaweza kuridishwa jela na kuendelea kusota?
Bila Shaka Rais kuamua kuwasamehe kwa makosa yao ambayo hayakupaswa kusameheka ana sababu za kuamua kuwasamehe na pengine watakuwa chini ya uchunguzi kuona kama Nija, sababu, masharti na matarajio ya kuwatoa gerezani yanafuatwa na kutimilika
Je kujichora tatu mwilini zenye majina ya Rais wetu ndio lengo LA kuwaachia au wameanza kukiuka masharti ya kusamehewa?
Bila shaka moja wapo ya masharti ni kuhakikisha wanaleta propaganda zitakazopelekea chama chetu kushinda, vinginevyo wanaweza kurudishwa mahala kwa kushindwa kazi
Tusubiri tuone
Nawasilisha
Bila Shaka Rais kuamua kuwasamehe kwa makosa yao ambayo hayakupaswa kusameheka ana sababu za kuamua kuwasamehe na pengine watakuwa chini ya uchunguzi kuona kama Nija, sababu, masharti na matarajio ya kuwatoa gerezani yanafuatwa na kutimilika
Je kujichora tatu mwilini zenye majina ya Rais wetu ndio lengo LA kuwaachia au wameanza kukiuka masharti ya kusamehewa?
Bila shaka moja wapo ya masharti ni kuhakikisha wanaleta propaganda zitakazopelekea chama chetu kushinda, vinginevyo wanaweza kurudishwa mahala kwa kushindwa kazi
Tusubiri tuone
Nawasilisha