MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Team Wabakaji.
😀😀😀😀😀😀😀Walau Pdiddy alikuwa anachapia maandishi, lakini maudhui tulikuwa tukiyaelewa
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Ndugu Mzazi/ Mlezi
Uongozi wa shule unakukumbusha kuwa mtoto wako hataruhusiwa kupanda basi la shule wala kuingia darasani kama hujalipa ADA”
Kwa hiyo wao tu ndio wanatakiwa kubugi,ninyi ni wateule huwa ham-bugi?wakibugi tena sheria ni ile ile....debe litawahusu lkn ni vgumu sana mana wanaonesha wananidhamu ya hali ya juu
mbona umenijibu kana kwamba mi mwana ccm ndugu?Kwa hiyo wao tu ndio wanatakiwa kubugi,ninyi ni wateule huwa ham-bugi?

Wanaandaliwa kwa kampeni 2020, sasa hivi ni bidhaa adimu, ukumbuke Kapteni Komba amesha RIP.[/
papaii kocha katika utetez wake mahakaman alidai yeye ni Anisi kwaiyo nawaomba nyie milupo mumuhache msimsumbue papii kocha..