TANZIA Babu Njenje Mabruk amefariki dunia alfajiri ya leo

Duh! Kuna watu wanapenda muziki na marehemu mzee njenje na kilimanjaro band yake hawamjui si masihara haya.
Labda kama muziki umeanza kusikiliza hivi karibuni.
 
Reactions: amu
Rest Easy Grand pa....surely you will be missed legendary....
 
Duh! Kuna watu wanapenda muziki na marehemu mzee njenje na kilimanjaro band yake hawamjui si masihara haya.
Labda kama muziki umeanza kusikiliza hivi karibuni.
Ni uwendawazimu au ulimbukeni umewaganda...
Kama mtu haujui wimbo wa Kinyaunyau wa Njenje basi Sitishiki ya Chuchu Sound haufahamu au Chozi la Mnyonge la FM ACADEMIA halijui au kisa cha Mpemba wa Banza Stone nacho hakifahamu... Basi atulie siyo lazima Ufahamu yote.
 

Itakuwa ni wameanza kusikiliza/kufatilia muziki huu ambao wengine tumeacha kusikiliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…