Babu na mjukuu

Babu na mjukuu

emma-chriss

Senior Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
100
Reaction score
16
BABU: Mjukuu wangu umerotoka shule?
MJUKUU: Hapana babu
BABU: Kama umetoroka njoo ujifiche mwalimu wako huyo anakuja huku
MJUKUU: Jifiche ww babu,nilimuaga mwalim kuwa nimekuja msibani wewe umekufa
 
BABU: Mjukuu wangu umerotoka shule?
MJUKUU: Hapana babu
BABU: Kama umetoroka njoo ujifiche mwalimu wako huyo anakuja huku
MJUKUU: Jifiche ww babu,nilimuaga mwalim kuwa nimekuja msibani wewe umekufa

hahahahahahahahahahahahahahaha!!!!!!!!!!!
Mbavu zanguuuuu!!!!!!
 
Mitoto mingine bana! Bure kabisa!!!
 
Ila kama kusingizia babu au bibi amekufa tumesingizia wengi sana. Yaan wangeweza kufufuka wangekufa tena haraka kwa jinsi tulivyowachuria.
 
Back
Top Bottom