Babu Marcio Maximo arejea tena Tanzania

Babu Marcio Maximo arejea tena Tanzania

Akimaliza msimu wa ligi, basi ni jambo la kushukuru.
 
Atawarudisha. Dimbani kina Ngasa. na Maftah
Dah unanikumbusha mbali nilivyokuwa mdogo maftah. Boban Henry John shindika Dan mrwanda.

Wakati ule Boban na kaniki walivyoenda Sweden niliwatangulia. Harun boban hakupenda kabisa Maisha ya ulaya alimiss company ya masela ya uvutaji bangi bongo, akaamua kurudi. Nilikuwa bado young ma late teens.

adriz
 
Dah unanikumbusha mbali nilivyokuwa mdogo maftah. Boban Henry John shindika Dan mrwanda.

Wakati ule Boban na kaniki walivyoenda Sweden niliwatangulia. Harun boban hakupenda kabisa Maisha ya ulaya alimiss company ya masela ya uvutaji bangi bongo, akaamua kurudi. Nilikuwa bado young mana late teens.

adriz
Boban alinifurahisha sana.. nakumbuka nilisoma kwenye gazeti hiki kisa chake eti maisha ya sweden hayawezi, dah nilicheka sana.
 
Kaja kujidhalilisha tu ,na itakua dau lake la kawaida ila kmc nao wabadilike
 
Back
Top Bottom