TUWEKANE BAYANA
Member
- Mar 10, 2011
- 45
- 0
Tokea babu wa loliondo atambe magazeti dr slaa amesizi kutokea katika front page za magazeti.. Ndo ujue kama wabongo wanapenda mambo ya kidaku kuliko maendeleo!
Naloli pumbavu sana nimecheka nusu nijikojoleeKumbukeni Duniani janga la Ukimwi unaongoza kwa kuua watu huku kwetu Barani Afrika tena kusini mwa Jangwa la Sahara na Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopo upande huo, Pili moja wapo ya tatizo lisababishwalo na ugonjwa wa kisukari ni upungufu wa nguvu za kiume na kwa mwanaume wa kiafrika kukosa nguvu za kiume ni balaa kuu. Hivyo kujitokeza BABU WA LOLIONDO kudai anatibu magonjwa sugu ikiwamo na hayo niliyoyataja ni lazima AFUNIKE HABARI ZOTE yaani habari nyingi zitafunikwa, mi nakwambia tutakuja shtukia GADAFI keshatolea madarakan huko LIBYAi sisi hatuna taarifa maana bado tupo na CD yetu ya LOLIONDO maana ndio inayouza kwa sasa
Mkuu nawe heding yako pia inaonyesha udaku.Ni kweli kuwa magazeti yote yanahangaika na Loliondo kwa sasa,na mambo yote ya muhimu yamesahaulika.Lakini usiniambie kuwa hii ni mbinu ya CCM...Lets be seriousTokea babu wa loliondo atambe magazeti dr slaa amesizi kutokea katika front page za magazeti.. Ndo ujue kama wabongo wanapenda mambo ya kidaku kuliko maendeleo!
Kumbukeni Duniani janga la Ukimwi unaongoza kwa kuua watu huku kwetu Barani Afrika tena kusini mwa Jangwa la Sahara na Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopo upande huo, Pili moja wapo ya tatizo lisababishwalo na ugonjwa wa kisukari ni upungufu wa nguvu za kiume na kwa mwanaume wa kiafrika kukosa nguvu za kiume ni balaa kuu. Hivyo kujitokeza BABU WA LOLIONDO kudai anatibu magonjwa sugu ikiwamo na hayo niliyoyataja ni lazima AFUNIKE HABARI ZOTE yaani habari nyingi zitafunikwa, mi nakwambia tutakuja shtukia GADAFI keshatolea madarakan huko LIBYAi sisi hatuna taarifa maana bado tupo na CD yetu ya LOLIONDO maana ndio inayouza kwa sasa