Babu loliondo atabiri kufa jumatatu ya pasaka

Babu loliondo atabiri kufa jumatatu ya pasaka

TATE

Member
Joined
Aug 11, 2010
Posts
89
Reaction score
17
Hii imesikika leo kwa mujibu wa redio clouds fm. Sina taarifa zaidi kwa kuwa miye mwenyewe nimedokezwa na mtu.
 
Hii imesikika leo kwa mujibu wa redio clouds fm. Sina taarifa zaidi kwa kuwa miye mwenyewe nimedokezwa na mtu.

Mmeshaanza kutaka kujustify mauaji ya babu, ametishia biashara za wengi...Kakobe, Ndodi, waganga uchwara wote
 
am not so sure with this information,lets wait and see
 
radio ya udaku radio ya wafu hata habari zao ni za udaku na wafu wafu...
 
Hii imesikika leo kwa mujibu wa redio clouds fm. Sina taarifa zaidi kwa kuwa miye mwenyewe nimedokezwa na mtu.

Yaani katika posti yako hii kidogo kama nilikua nimeshaanza kuiamini! Lakini nilipoona neno REDIO CLOUDS FM!!! Craaaap:crazy: Endelea kuwasikiliza kina Kibonde na hiyo redio yao ya kibishoo!
 
Yaani katika posti yako hii kidogo kama nilikua nimeshaanza kuiamini! Lakini nilipoona neno REDIO CLOUDS FM!!! Craaaap:crazy: Endelea kuwasikiliza kina Kibonde na hiyo redio yao ya kibishoo!
Elewa hii si kwa mujibu wangu, ila nimedokezwa na mtu aliyekuwa anasikiliza redio hiyo, ndio maana nimeweka kama tetesi, kama kuna mtu anaweza ku verify hii habari, please do.
 
clouds cku hiz ni wazush na information zao ni za kipuuz mara nying wakiongozwa na mjinga jinga wao kibonde
 
yaani ulivyotaja tu clouds nkasikia kichefu chefu
 
kama kweli babu kasema hivyo then akaonwe na mtaalam wa magonjwa ya akili...mnh :ballchain:
 
Huu ni uzushi. Hakukuwa na news item kama hiyo kwenye Clouds. Hebu mods ondoa hii kitu.
 
Elewa hii si kwa mujibu wangu, ila nimedokezwa na mtu aliyekuwa anasikiliza redio hiyo, ndio maana nimeweka kama tetesi, kama kuna mtu anaweza ku verify hii habari, please do.

Basi nakutuma nenda kamshauri huyo jamaa yako aache kusiiliza hiyo redio clouds!
 
Basi nakutuma nenda kamshauri huyo jamaa yako aache kusiiliza hiyo redio clouds!
kwako wewe tatizo ni source ya habari au ni kama habari yenyewe ni ya ukweli?
Wengi watalia LMAO!
 
una wazimu ndugu?
kwanini unaniuliza hivyo ndugu, au kwakuwa habari haijakufurahisha? nimeshasema nimesikia tetesi kama kuna mtu anaweza kuverify habari hizo kama ni ukweli afanye hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom