Babu loliondo atabiri kufa jumatatu ya pasaka

Babu loliondo atabiri kufa jumatatu ya pasaka

mhh we mtoa mada mbona unatulisha kasa? clouds nimewsikia ni wazushi tu wale vijana wa XXL wamesema atakufa july nani kawaambia naona wale shule ni zero au div 4 ya form 4 wakasomea cheti wanapayuka tu,naona wameingia kwenye net wako live hawa jamaa lakini pumba tupu hawana jipya,kwa mnaopenda kusikia pumba zao mtawapata www.cloudsfm.co
 
kwanini unaniuliza hivyo ndugu, au kwakuwa habari haijakufurahisha? nimeshasema nimesikia tetesi kama kuna mtu anaweza kuverify habari hizo kama ni ukweli afanye hivyo.

Kuna redio imetangaza hapa sasa hivi kwamba mama yako amebakwa na kundi la vijana wa kihuni 20, ila umeme umekatika nimeshindwa kupata data kamili, kama una taarifa kamili naomba utujuze.
 
Those are rumors.Grandper can't die until i drink that medicine.don ask me when i will go there.
 
Kuna redio imetangaza hapa sasa hivi kwamba mama yako amebakwa na kundi la vijana wa kihuni 20, ila umeme umekatika nimeshindwa kupata data kamili, kama una taarifa kamili naomba utujuze.
hasa sijui haya yanatokea wapi, naona umeshindwa kutumia busara, au unachelea hutawahi kunywa kikombe, soma hapo juu ni kweli habari hii imetangazwa katika kipindi cha xxl juu ya kwamba ni kweli ama lah, hiyo mi sijui.
 
Kifo anayepanga ni mwenyezimungu, tuweni macho na huyu babu tusije kufuru. Tusimfanye babu kama mungu.
 
Elewa hii si kwa mujibu wangu, ila nimedokezwa na mtu aliyekuwa anasikiliza redio hiyo, ndio maana nimeweka kama tetesi, kama kuna mtu anaweza ku verify hii habari, please do.

Huu ni udaku square kumbe hata wewe mwenyewe hukusikia!!!:embarassed2:
 
kama kweli babu kasema hivyo then akaonwe na mtaalam wa magonjwa ya akili...mnh :ballchain:
Huyu babu mbona siku zinavyoenda nazidi kupoteza imani nae ? Naweza kuwa nakosea lakini ukweli uko karibu kujilikana.
 
Back
Top Bottom