MCHUNGAJI Ambilikile Mwaisapile Babu ametua Dar es Salaam kutoa huduma yake ya tiba ya kikombe kwa muda akisubiri eneo lingine kubwa zaidi aliloahidiwa na Serikali.
Babu aliwasili Alhamisi asubuhi kwa helikopta akitoka Loliondo ambako utoaji tiba umesimama kwa muda na Ijumaa atakuwa akitoa kikombe katika viwanja vya Jangwani ambako alisema nafasi ni pana zaidi.
Babu aliwasili Alhamisi asubuhi kwa helikopta akitoka Loliondo ambako utoaji tiba umesimama kwa muda na Ijumaa atakuwa akitoa kikombe katika viwanja vya Jangwani ambako alisema nafasi ni pana zaidi.