Babu kutoa kikombe Jangwani

Babu kutoa kikombe Jangwani

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,145
Reaction score
56,417
MCHUNGAJI Ambilikile Mwaisapile ‘Babu’ ametua Dar es Salaam kutoa huduma yake ya tiba ya kikombe kwa muda akisubiri eneo lingine kubwa zaidi aliloahidiwa na Serikali.

Babu aliwasili Alhamisi asubuhi kwa helikopta akitoka Loliondo ambako utoaji tiba umesimama kwa muda na Ijumaa atakuwa akitoa kikombe katika viwanja vya Jangwani ambako alisema nafasi ni pana zaidi.
 
Mmeiona story ya babu kwenye new york times la alhamisi?
 
Hii yenyewe wana dar kazi kwenu mkatibu
 
Pumba fu kabisa siku ya wajinga bado khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jamani wana JF eti we uko karibu tuwahie nafasi! Aka! Wahin foleni hizo, tena mwisho sa 4 asubuhi. Watatibiwa waliowahi tu, jioni anaondoka
 
Usiwe na wasiwasi nitakuletea kikombe mpaka mlangoni,

Kwanza hakikisha simu yako ina zaidi ya shilingi elfu tano na mia tano. kisha,

Piga simu hii *101*(hapa weka namba yangu si mnaijua?)*5000#. Kisha chukua kikombe unachonywea chai, mimina maji, fumba macho kunywa. Amini ni mimi nimekuletea mpaka mlangoni utapona.
 
Back
Top Bottom