Bondia aliyetamba katika ngumi za kulipwa uzito wa juu (Heavy Weight) duniani Evander Holyfield anategemewa kupanda ulingoni mwezi wa Desemba mwaka huu kupambana na bingwa wa uzito wa juu anayetambuliwa na WBC kutoka nchini Ujerumani Nicole. Evander atakuwa akitimiza umri wa miaka 46 siku atakayopambana na mpinzani wake.....Jamaa ananikumbusha siku alipopambana na Tyson akanga'atwa sikio!!!