Babu Duni ambaye ni mgombea mwenza wa CHADEMA amepata umati wa kufa mtu Bukoba kwenye mkutano wake wa Kampeni mjini Bukoba uliofanyika sokoni kata ya KASHAI. Kwa matukio zaid tembelea http://bukobawadau.blogspot.dk/2015/10/mkutano-wa-juma-duni-haji-mjini-bukoba.html#.ViF8GTahfIU