umeona eeeee?? mama mzima anamwambia bintiye kabisaaaa, sema mahari milioni 5! lol kaazi kwel kwel!ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa, hapo sasa. chonde msije ukataka shea kwenye kampuni zetu kama mahari, maana wazazi wa siku hizi wenye mabinti ni wafanya biashara
mil 5 kidogo mbona! wengine wanadai wapewe share kadhaa kwenye kampuni, ili nao wawe wamiliki, lol!umeona eeeee?? mama mzima anamwambia bintiye kabisaaaa, sema mahari milioni 5! lol kaazi kwel kwel!
mameeeeeee! share tena kwenye kampuni??? lol! tunaelekea kubaya wallah!mil 5 kidogo mbona! wengine wanadai wapewe share kadhaa kwenye kampuni, ili nao wawe wamiliki, lol!
ndo maana yake, madai eti ni investment ya wajukuu, lol!mameeeeeee! share tena kwenye kampuni??? lol! tunaelekea kubaya wallah!
jishangalie shostie, ukaguzi umepelekea yote haya! nakuwa sielewagi kwa kweli jinsi nilivyodumbukia, lol!makubwa......................
wizi mtupu! lol, wanangu watakuwa masista kanisani, kama hawataolewa kwako! tena woteeeee wataolewa kwako, khaaaaa mama mtu nimeipitisha, lol!ndo maana yake, madai eti ni investment ya wajukuu, lol!
hako kadude ka senksi haiwezekani kugonga mara 10? si unajua sisi wangoni na maheshima yetu? yaani kama mama mkwe mwenyewe ndo mimi, si unaona sasa mabinti zako watakavyotesa huko mtaani? kama nawaona vilewizi mtupu! lol, wanangu watakuwa masista kanisani, kama hawataolewa kwako! tena woteeeee wataolewa kwako, khaaaaa mama mtu nimeipitisha, lol!
kwa kweli mama mkwe wamepata, labda wakiuke tu wenyewe maadili! na wangoni ndio wenyewe kwenye ile michezo yetu, lol! wanangu watakuwa wanapiga vigelegele!hako kadude ka senksi haiwezekani kugonga mara 10? si unajua sisi wangoni na maheshima yetu? yaani kama mama mkwe mwenyewe ndo mimi, si unaona sasa mabinti zako watakavyotesa huko mtaani? kama nawaona vile
Jamani nazidi kusikitika babu Asprin kakosa nafasi kwenye basi la ndugu wa marehemu kaamua kutumia bajaji yake kwenda Tunduru kwenye malalo ya milele ya marehemu binamu yetu padre Amon! A NAZIKWA Tunduru kwenye makao makuu ya shirika lake! Kwa wakatoliki wanalijua hilo ipasavyo.
jamani mwenye hata trekta ampe lift hubby wetu! khaaaaaa, KARIA mwambie naandamana huku apate usafiri!
hii habari ina ukweli au ni chit chat? Tunduru kwa bajaji? au ni misemo ya huku ambayo imenipita?
we ulikuwa wapi si twahangaika peke yetu kumbembeleza mfiwa?? Ebo!hahahaaaaaa uwiiiiii mbavu zangu.........jf raha sana aseee