Baba yangu hanipendi kwasababu ya tabia zangu

Baba yangu hanipendi kwasababu ya tabia zangu

Kwiiiii kwiiiii chief pole leo umeingizwa chaka duh siamini kama haumjui uyu muongo wa JF ambae ni fundi wa hadithi za uongo,pole sana mpwa ila nimecheka tu ulivyoshauri kwa nidhamu zote
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
akirud nyumban lazma aniulze naendeleje shule. cku hz aniulzi anifat chumban. jna wakat tunakula akawaulza wadogo zngu wanaendeleaje shule mi ajaniulza ktu chochote. aniulzi chochote. maa anaona asemi ktu ananyamaza tu roho inaniuma sna nfanye nn anpende km zaman
[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] sasa si umuulize dingi yako hapa jf utasaidikaje
 
Acha hizo tabia zako mbovu mbovu, kuwa mtoto mzuri na mwema kwa wazazi wako utapendwa tu.
 
Kwanza pongezi kwa kuweza tambua kuna tofauti kati yako na baba yako. Pili jaribu kubadilisha mwenendo wako kama kuna mambo mazuri ulikuwa una fanya na sasa umeacha jaribu kuendelea nayo yana weza kuwa ana ya mis toka kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom