Kwiiiii kwiiiii chief pole leo umeingizwa chaka duh siamini kama haumjui uyu muongo wa JF ambae ni fundi wa hadithi za uongo,pole sana mpwa ila nimecheka tu ulivyoshauri kwa nidhamu zoteKuna mahali umemkwaza tafuta muda tulivu akiwa pekeyake umuulize kwa adabu na unyenyekevu ukiwa umevaa mavazi ya heshima
Mwambie afanye kama jina lako.Pyeeeeeeee ngachoka
Wazazi wanataka nisome, sipendi kusoma sipendi kuamka asubuhi sipendi kwenda shule nifanye nini ili niwe model.
Mimi mwenyewe nahisi baba yake yupo huku na alisoma mabandiko yake, kwa nini aache kumjali gafla?? tehe tehee..... Just thinking!!!!Ndio Maana kumbeee!!!!!Hata threads zako hazieleweki,.nikwambie Mdogo wangu!?Hili jukwaa tuachie watu wazima ww soma kwanza na utaona baba anakupenda upya ananuna saa nyingine Anajua upuuzi wako na usikute na yy yupo humuhumu anakuona ona tuu na sridi zako za "kwann wanaume wa bongo hawajui kutongoza" nayy akijiangalia ni mwanaume lazima aone huna adabu na umemdharau,.upo nyonyo!!??
Haya na ufanye homework sasa
Habari ndio hiyo mkuu wamekutana huku kwa sura tofauti baba kamaind[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mimi mwenyewe nahisi baba yake yupo huku na alisoma mabandiko yake, kwa nini aache kumjali gafla?? tehe tehee..... Just thinking!!!!