Baba yake rafiki yangu anamtaka kimapenzi

Baba yake rafiki yangu anamtaka kimapenzi

chodotio richie

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
214
Reaction score
86
Mzee mmoja anamtaka binti yake kimapenzi mwaka wa tatu mfululizo na amejaribu kumbaka Mara kadhaa mpaka anataka kuhama kwao. Bado anasoma na anahitaji ushauri now yupo kidato cha sita.

Jamani hivi nini kinasababisha mzazi kumtaka mwanae jamani?
 
Nawewe upo form six???
Good newz. ukimaliza uje nikupe zawadi

Anyway hilo Ni tatizo kubwa, mwambie akaripoti kwa viongozi wake dini, polisi au hata kwa majirani juu ya hilo.
 
Huyo binti amusemee kwa watu wazima wamwekee mtego. Hilo libaba la hivyo na halijiheshimu ukute lina ngoma na anafanya hivo maybe kwa vile sio mwanawe


Logic ya mtoto ni kuwa, huyo ndo anamlipia ada na chakula na all her basi needs ndiyo maana inamuwia ngumu kumsemea.

Wakati niko polisi hizi issue zilikuwa sana, yani binti kapewa mimba na mjomba au hata baba yake mzazi/kambo ila yupo tayari kwa lolote ila asimtaje maana anajua akienda ndani na yeye future yake inayumba (mara nyingi wanakuwa walishawatishia hivyo, ikiwamo na kuwatishia kuwaua). Kwa mtoto maneno na vitisho hivyo viko deep kuliko tunavyotaka kuamini sisi wenyewe (I mean kama mtu mzima ni rahisi kupuuza na kuona anapenda mwenyewe nk).

Nadhani serikali iko bize kuwafunga wakosaji na sio kuwahudumia wahanga wa haya mambo ndiyo maana hayaishi. Wizara husika iwezeshwe kifedha na iandae mfumo mzuri wa kuhakikisha mabinti hawa wanapata maisha baada ya abusers wao kufungwa.

My 5 cent.
 
Mzee mmja anamtka bnt yke kimapnz mwaka was tatu mfululizo na amejarb kumbaka Mara kadhaa mpka anatka kuhama kwao. Bdo anasoma na anahtaji ushauri now ypo kidto cha sita.


Jaman HV nn knasababsha mzaz kumtaka mwanae jmn??
Mwambie huyo binti ahamie kwangu ili nimpe hifadhi.
 
Huyo Binti ni ww,huku kwetu uswahilini tunaiita ' mfanyabiashara anataka kula faida au mkulima anataka kula mavuno yake
 
Mzee mmja anamtka bnt yke kimapnz mwaka was tatu mfululizo na amejarb kumbaka Mara kadhaa mpka anatka kuhama kwao. Bdo anasoma na anahtaji ushauri now ypo kidto cha sita.


Jaman HV nn knasababsha mzaz kumtaka mwanae jmn??
Ue unaandika neno linafika mwisho au ndio umesikia mlango umegongwa unatetemeka.Usiwe unaandika kama mnavyo andikaga fb utafikiri huwa mmebanwa na haja kubwa.

By the way muambie amueleze babu yake /mzee ambaye baba yake anamuheshimu sana.Aende kwa kiongozi wadini anaeheshika mahali alipo. Baada ya hapo aende kupeleka malalamiko yake polisi.Kwa level ya elimu aliopo mwambie aache uoga awemthubutu hilo limbaba laweza mvurugia mustakabari mzuri wa maisha yake. Halafu aweanaenda ndugu wengine ni vyema zaidi asiwe anaenda kwao wakati wa rikizo (atunge uongo wowote) ilikuepusha uwezekano wa hilo jambazi kumuona. Mwambie asilegee maisha ndio haya haya ya tz ya viwanda awejasiri kuomba msaada kwenye mashirika ya kijinsia/wanawake/watoto hii ni katika kuhakikisha kuwa hakuna athari hasi kwakiasi kikubwa katika kipindi chote cha masomo yake yote.

mkumbushe hatusomeshi wazazi so asiwe mzembe any more katika hili.
 
Asnte lakn bado sijaelewa nitaandka vzr hii Mada kesho. Samahani kwa typing error zilizo jtokeza nashukuru mlinielewa. Jmn ni story ndefu mama alishafarki2012. Mzee anatishia kusitisha ada na ndgu hawana uwezo. Ninaomba mnishauri vyema na sio kunitukana kua nmeandka hku naharisha na mengne yakuongezeana uchungu. Asnteni snaa mnaozd kutoa maoni yenu nianzie wapi .
 
Asnte lakn bado sijaelewa nitaandka vzr hii Mada kesho. Samahani kwa typing error zilizo jtokeza nashukuru mlinielewa. Jmn ni story ndefu mama alishafarki2012. Mzee anatishia kusitisha ada na ndgu hawana uwezo. Ninaomba mnishauri vyema na sio kunitukana kua nmeandka hku naharisha na mengne yakuongezeana uchungu. Asnteni snaa mnaozd kutoa maoni yenu nianzie wapi .
Pole sana mkuu lakini usijari mambo yatakua sawa tu mkuu.
 
Mzee mmja anamtka bnt yke kimapnz mwaka was tatu mfululizo na amejarb kumbaka Mara kadhaa mpka anatka kuhama kwao. Bdo anasoma na anahtaji ushauri now ypo kidto cha sita.


Jaman HV nn knasababsha mzaz kumtaka mwanae jmn??

Mwambie amutumie ujumbe Mama Kikwete. Tunaiambia serikali watoto wetu hawapati mimba kwa kupenda, wengine wanabakwa na baba zao. Hao ndiyo wa kwanza kuwalaumu watoto wa kike.
 
Logic ya mtoto ni kuwa, huyo ndo anamlipia ada na chakula na all her basi needs ndiyo maana inamuwia ngumu kumsemea.

Wakati niko polisi hizi issue zilikuwa sana, yani binti kapewa mimba na mjomba au hata baba yake mzazi/kambo ila yupo tayari kwa lolote ila asimtaje maana anajua akienda ndani na yeye future yake inayumba (mara nyingi wanakuwa walishawatishia hivyo, ikiwamo na kuwatishia kuwaua). Kwa mtoto maneno na vitisho hivyo viko deep kuliko tunavyotaka kuamini sisi wenyewe (I mean kama mtu mzima ni rahisi kupuuza na kuona anapenda mwenyewe nk).

Nadhani serikali iko bize kuwafunga wakosaji na sio kuwahudumia wahanga wa haya mambo ndiyo maana hayaishi. Wizara husika iwezeshwe kifedha na iandae mfumo mzuri wa kuhakikisha mabinti hawa wanapata maisha baada ya abusers wao kufungwa.

My 5 cent.

Rais ameamuwa watoto wote wanaopata mimba wafukuzwe. Yeye hawezi kusomesha wazazi. Haya kesi kama hizi, baba wanataka kutembea na watoto wao. Haki iko wapi. HUYU Rais wetu ana utu kweli?
 
mwandiko mbaya... Unamuaibisha mwalimu wako
 
Back
Top Bottom