Nilipata kusikia Waswahili wakisema Hakuna Msiba Usiokuwa na Mwenzie! Sijahakikisha kuwa hili ndilo linalompata dada yetu Joyce, lakini linaendana.
Kaza roho Joyce na jiandae kwa lolote! Nawakumbuka wanao siku ile wakisema "baba yetu yuko? inasikitisha"
Pumzika kwa amani mzee Kiria.