Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,005
- 32,692
Kapime DNA fasta.Mimi ni yule yule tunaetoa huduma za mazishi na kuuza majeneza tupo manzese karibu na kituo cha mwendokasi.
DNA wataangalia zaidi ustawi wa mtoto kuliko ukweli wa majibuKapime DNA fasta.Mimi ni yule yule tunaetoa huduma za mazishi na kuuza majeneza tupo manzese karibu na kituo cha mwendokasi.
Yes wanawake ni viumbe hatari sisiSwali muhimu sana kabla hatujatoa ushauri, wanawake wana siri sana.
Hamna kitu kwahyo unashauri watu waendelee kuvumilia mateso. Ndoa Sio ni Vita ni raha na kupeana utelezi tuu ukiona mapicha unaleft tu groupGharama ya kuvunja familia ni kubwa sana.
Mungu atusaidie atuepushe mazingira yanayosababisha kuvunjika kwa familia.
Ila pia wanaume mnatongoza wake za watu mnawamega, mkimegewa uchungu wake hamuuwezi. Muosha huoshwa. Kila mmoja ajiheshimu.
akili kubwa
Una uhakika huyo mtoto ni wako?
akili kubwa
ushauri wa kinyonge sana huuWwngi sie ni SOCIAL FADHER and not The Biological Fadher.
Hata huyo Mchumba wako mpya naye anaMchumba wake MWINGINE kabla yako,
Ushauri wangu, Samehe, endelea na Mkeo, achana na huyo, unaye muwazia kufunga naye ndoa mwakani,
ATAKUJA AKUUMIZE, KULIKO HUYO ULIYE MUACHA,
Huyo mtoto, usipime naye DNA endelea kumuhudumia mpaka atakapo kuwa ni mtu Mzima.
Usimgoe kwenye BIMA mkeo na mwanao,
Huyo Baba wa ubatizo, ndioalikuwa ana mueweka mjini mkeo, kabla yako, na kumpunguzia Stress na hatimaye UKAMPENDA,
Nashauri, SAMEHHE, ISHI NA MKEO
Hapa si ndio mauaji mengine yatatokea,ila watu wa Dna watatumia busara na hekima ili kuleta ustawi mzuri kwa mtoto,kesi kama izi Dna majibu yao ni mazuri hata yakiwa tofauti na majibu,ategemee kuambiwa mtoto ni wakeKabla ujafanya chochote kafanya DNA test ni laki na 20 kwa mtu mmoja ili ujue status yako na huyo mtoto.
Hapa ni kulea tu ivyoivyo,Maisha mengine yasonge
Una uhakika huyo mtoto ni wako?
Hili ndio kubwa kuliko
Una uhakika huyo mtoto ni wako?
Mama wa mtoto alianza kudate na Mgoni wake kabla jamaa hajamuoa.Hapa si ndio mauaji mengine yatatokea,ila watu wa Dna watatumia busara na hekima ili kuleta ustawi mzuri kwa mtoto,kesi kama izi Dna majibu yao ni mazuri hata yakiwa tofauti na majibu,ategemee kuambiwa mtoto ni wake
Watu wanalazimisha ndoa kwasababu ya kulana kila siku na kula wakati na kwa uhuru aiseeee😋Tatizo binadamu wa sasa bado wanalazimisha sana haya mambo ya ndoa. Tukulanage tuu jameni