Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Wajukuu zake
Yakutengeneza angalia back ground ya bint wa jyshoto na wa kulia then hilo busu hawana mikonoKitu cha kawaida sana!Sasa cha ajabu kipi?
Ngoja wakue wayaoneUkipata wajukuu ndio utaelewa utachezewa mpaka ndevu kama uko kwa mchepuko vile
Usifanye mchezo na busu tna la mtoto wa kike no matter ni mjukuu au mwana,cheki babu alivyotulia na tabasamu moja mubashara mnooo hahahahahahahaaaa R.I.P Mwalimu nchi yako sasa hivi imekua kama lori tu na dereva wetu mmmhhh ila tutafika tu salama.
Ni kweli wajukuuu haooWajukuu
Embu acheni kuwa primitive nyie mila! Mila! Mila! Hata kukeketa nayo ni mila,kurithi mke ni mila, upuuzi mtupu kushikiria mil na tamaduni zilizo achwa na wakati uliopo sasa. Mila!!! Ujinga huu,binadamu yoyote yule haitakiwi asahau mila na desturi. na ukizingatia yule mzee aliko toka alikuwa ni chifu wa kabila lake. hilo swala lingekuwa ni kawaida kwa tanzania inamaana huyo jamaa angesipo hoji na hata kama angehoji inamaana uongozi wa jf ungefuta hiyo post.
Hiyo ilikuwa birthday yake hao ni wajukuu zake.Asante sana mkuu. Sasa nasubiri majibu tu ya wadau!
Hao ni nadhani ni wajukuu zake, Julia na Helena ambao ni watoto wa mzee Madaraka Nyerere.