Duh! Pole sana Kamanda. Ninaona unavyopita katika kipindi kigumu. Ila nafahamu imani yako kwa Mungu. Natumaini atakupelekea Roho wake akutangulie na kukupa nguvu na faraja katika mapito haya. Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani. Aamen!