Baba wa Diamond atoa baraka kwa mjukuu wake mpya

Huyo binti ni mpuuzi
Umejibebesha mimba ya singleboy mtoto wa kwanza baba kakukacha.
Unafungua tena uzazi unazaa na mwanaume mwenye familia ambayo ulimwengu mzima unaijua, baba anakukataa wewe na mtoto unangangania na kulazimisha utambulike
Kama alishindwa kumstiri yule aliyekuwa free ataweza kustiriwa na huyu mwenye familia??
Wanaomsifia ujinga ni wapumbaavu wenzie
Anajitengenezea mazingira ya kuchina na kuwa nungayembe.
Nani atakubali kubeba/kuoa mama wa watoto wawili wenye baba tofauti???


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maisha ni kuamua hata wewe hujui mission ni nini hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana mi nataka nikaoe Pemba, wale wanawake wanajifunika kichwa mpaka hujui mbele wapi nyuma wapi. MASHILAWADU wataisoma namba
 
Ukiona hivyo ujue ashavuta vijisenti, huyu mzee analipwa kusema kitu chochote tu.
 
Dunia ya sasa maadili yamekwisha kabisa,yaani badala ya baba mzazi wa kijana atoe onyo kwa kijana wake kuhusu tabia yake mbaya ya uzinzi na kuzaa zaa hovyo na wanawake ambao hajawaoa na uwezo wa kuwaoa na kuwatunza anao yeye ndo kwanza anabariki uchafu unaofanywa na mwanae.na hii yote inatokana na ukweli kwamba kijana ndiye anaempa maisha mzee ndo mana anaogopa kumkanya anaogopa akienda against nae atamwaga mboga.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Umesoma article nzima lkn au umekurupuka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zari na hamisa wana utofauti gani coz mwingne ana mitoto mitatu mikubwa na akaacha mme wake na kuja kuzalishwa na kivulana kidogo kabisa afadhari misa ana mtt moja tu nje

Sent using Jamii Forums mobile app
Hufahamu totauti zao??
Zari aliolewa akaachana na mumewe akiwa na watoto watatu na kukutana na hiko unachokiita kivulana na wamezaa watoto wawili.
Hamisa hajawahi kuolewa, kazaa mtoto mmoja na boyfriend kaachwa kafunua tena rinda kazaa na kile unachokiita kivulana na kakataliwa yeye na mtoto.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom