.....Siku hizi Matumizi ya simu yamekuwa ni ya uwazi na ya kurahisisha maswala mbalimbali kimaisha na si vibaya kununua simu kwa ajili ya watoto nyumbani kwa mawasiliano ya haraka..... ni kawaida... baadhi ya watu wamefanya simu kuwa kama rafiki wa karibu na kuifanya kuwa sehemu ya kuweka mambo mengi ya kimaisha pamoja na kumbukumbu mbalimbali ikiwa ni pamoja na maswala ya siri... Nimemshuhudia Baba mmoja siku moja anarudi nyumbani saa 3 za usiku kisha kuwaambia mabinti zake watau wenye umri kati ya miaka 15 na 22 waje mbele yake na kisha kuwaamuru kila mmoja apeleke simu yake kwa ukaguzi wa ghafla... huu ni uungwana kweli.....!!!!