Baba na mwanae

Baba na mwanae

The Grandson

Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
13
Reaction score
5
Baba:- Unajua Tizo juhudi zako katika masomo hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alijua kusoma na kuandika ndiyo maana walimpandisha madarasa haraka haraka..

MTOTO:- Unajua Baba juhudi zako katika maisha hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alikuwa ni Rais wa nchi tayari....
 
Back
Top Bottom