Mkuu nipo tofauti na wewe kidogo, kwanini tulee watoto wetu kma wazungu ilihali sisi ni waafrika? kwanini mzungu halei mtoto wake kma mwafrika? Mbona wahindi wanamiaka kibao huku kwetu lkn wanalea watoto wao kwa culture ya kwao sisi weusi tuna shida sehemu
Sent using
Jamii Forums mobile app