Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini
Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini
Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini
Kulipia ada English medium schools si mambo ya kitoto ujue. Acha niitwe daddy nami nionekane wa kishua bhana LOL
Juzi kati hapa toto langu si likaanza kunisemesha kifaransa wakati mi hata cha kuombea maji sijui... nikamalizana naye kwa mkwala..."hey master kwanza english yako ndo tuhamie kifaransa"...baba wa kiafrika hapendi kuonekana hajui hahaha
Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini