Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania, Nikk Mbishi, amepata pigo kubwa kufuatia kifo cha baba yake mzazi, John Marwa Machuche, kilichotokea tarehe 02 Agosti 2025.
Msiba ulihudhuriwa nyumbani kwa marehemu, Mzee Machuche, katika Mtaa wa Kwa Makobe, Ukonga.
Ibada ya misa takatifu ya kumuaga marehemu ilifanyika katika Kanisa la Katoliki Kigango cha Mtakatifu Monica, Ukonga.
Mazishi yalifanyika katika makaburi ya Bwela, yaliyoko katika eneo hilo hilo la Ukonga.
Msiba ulihudhuriwa nyumbani kwa marehemu, Mzee Machuche, katika Mtaa wa Kwa Makobe, Ukonga.
Ibada ya misa takatifu ya kumuaga marehemu ilifanyika katika Kanisa la Katoliki Kigango cha Mtakatifu Monica, Ukonga.
Mazishi yalifanyika katika makaburi ya Bwela, yaliyoko katika eneo hilo hilo la Ukonga.