TANZIA Baba Mzazi Wa Mbwana Samatta Afariki

Inside10

Platinum Member
Joined
May 20, 2011
Posts
34,738
Reaction score
42,832
NI huzuni kubwa katika familia ya mshambuliaji wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Mbwana Samatta kufuatia taarifa za kifo cha baba mzazi, Ally Samatta.

Mzee Samatta amefariki dunia leo hii nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa ndugu wa familia, Mzee Ally Samatta alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya.



Source: Mwanaspoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…