habari ya hapa JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 12,789 Reaction score 8,753 Sep 9, 2016 #41 Tyta said: hance mtanashati kuweka story yako sawa,Hii ilitokea takribani miaka 18 iliyopita(1998).Mwaka 2009(miaka 11 baadae) huyo Sean alikamatwa na kufungwa jela miezi saba kwa sababu za wizi.Emma Webster baadaye aliolewa na mwanaume mwingine. Click to expand... watu mpo makini, tayari tulishaingizwa kingi na mleta mada
Tyta said: hance mtanashati kuweka story yako sawa,Hii ilitokea takribani miaka 18 iliyopita(1998).Mwaka 2009(miaka 11 baadae) huyo Sean alikamatwa na kufungwa jela miezi saba kwa sababu za wizi.Emma Webster baadaye aliolewa na mwanaume mwingine. Click to expand... watu mpo makini, tayari tulishaingizwa kingi na mleta mada
G Gne gne Senior Member Joined Nov 17, 2015 Posts 102 Reaction score 36 Sep 9, 2016 #42 Mtoto ana zaa mtoto" (maendeleo)
Denis denny JF-Expert Member Joined Oct 7, 2012 Posts 5,780 Reaction score 7,854 Sep 9, 2016 #43 Mleta mada ilipaswa kwenye title uanze na neno kumbukumbu mana hili stori la muda sana jamaa nadhani atakuwa na miaka 28 hivi kama sikosei
Mleta mada ilipaswa kwenye title uanze na neno kumbukumbu mana hili stori la muda sana jamaa nadhani atakuwa na miaka 28 hivi kama sikosei
MduduWashawasha JF-Expert Member Joined Mar 5, 2008 Posts 1,653 Reaction score 605 Sep 9, 2016 #44 Aliyetumwa apigwe ban.Inauma manake sijui dogo alibakwa na huyu dada ?