Baba mwenye nyumba ameamua kuwaomba wapangaji wake msamaha

monde arabe

JF-Expert Member
Oct 22, 2017
8,487
13,018
Habar za muda huu ndugu wanajukwaa

Nadhani sote tunafaham kinachoendelea kati ya Baba mwenye nyumba wetu na wapangaji wake (kama huelewi sikiliza na kutazama vyombo vya habar#kurudisha pesa#wahujumu mipesa)

Kwa wale ambao hawafaham ni kwamba hapa Baba mwenye nyumba alizichanga karata zake vzr na bado anaendelea kuzichanga karata zake vrz japo kuna mahali tayar ameshachemka kidogo
Movie ipo namna hii;

Kumbuka movie hii haina trailer,movie inaanza 2015 Baba mwenye nyumba yupo kwenye majukwaa ya kisiasa akiomba kura na kula,hapo akawahadaa wapangaji#wananchi kuwa ataanzisha mahakama ya mafisadi (mwisho wa yote sina kumbukumbu kama mahakama hii ilianzishwa kwa kuwa hata mama wa sheria#katiba si dhani kama anaitambua mahakama hii)

Ukweli ni kwamba mahakama hii haikuanzishwa (kama ipo) kwaajili ya wahujumu mipesa bali ilianzishwa kwaajili ya kuwaadabisha maadui wa Baba mwenye nyumba hasa wale ambao hawakumsapoti kwenye mbio za marathon#Upuuzidenti 2015 so,wale ambao waliwasapoti watu wengine iwe ni ndani au nje ya chama ndyo hawa wanaokaangwa leo hii.Hoja chokonozi mbona Professor Anna#pesa ya mboga,Williameeee na Andulea walikwapua mpunga mrefu na leo hii wapo uraiani?
Huko kote Baba mwenye nyumba amefeli vbaya sana

ALIPOFELI ZAIDI:Baada ya kuona kuwa hawawezi hao anaowaita hawajumu mipesa akaamua kuwaundia zengwe,waji-commit kuwa waliiba hiyo mikwanja,warudishe kimya kimya swali je,yeye ndyo mahakama? mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani?
Ukweli usiosemwa ni kwamba Baba mwenye nyumba ameona hata akienda nao kwenye njia ya katiba hawezi kuwashinda watu hao so,BABA MWENYE NYUMBA AMEAMUA KUWAOMBA WAHUJUMU MIPESA MSAMAHA kwa mgongo wa kuandika barua na kurudisha kwa hiari kwa kuwa hawezi kuwashinda kwa njia ya sheria kama atasimama nao mahakamani pia,kesi hizo zingewaingiza watu wengine kwenye chain ikiwa ni pamoja na chama chake

KWANINI WATU WANALAZIMISHWA KUANDKA BARUA?
Nilimsikia DPP akidai kuwa inabidi kila mtu akiri kwa maandishi ili baadae asije ishtaki serikali lkn,huo sio ukweli.Ukweli uliofichwa ni huu;watu hao watatoa fedha hizo na baadae watakaporudi uraiani na kutaka kuishtaki serikali basi serikali (system) itayaanika mabaya yao kupitia barua watakazoziandka kwa kuwa kwenye barua hizo wanalazimishwa kuandka kila kitu kumbuka hapa muhusika atalazimika kuandika hata masuala ambayo hayahusiani na fedha na kama hata andka hivyo anaweza kurejeshewa barua yake na kuambiwa "barua yako haijitoshelezi"
Pia,hawa wahujumu mipesa wanaandaliwa kuwa watumwa wa kudumu kwa kuwa kama wengine hawatam-support Baba mwenye nyumba 2020 au kama wata-support upande pinzani basi wanaweza kufunguliwa kesi au kufilisiwa kupitia barua watakazoziandika

MATUMIZI YA FEDHA ZITAKAZOREJESHWA

Fedha hizo zitatumika kama ifuatavyo;

1.Zitatumika kuaajiri vjana waliohitimu vyuo mbalimbali kuanzia 2015 hadi hivi sasa ili kwenye kampeni za kusaka tonge 2020 Baba mwenye nyumba ajitape kuwa "nichagueni mimi si mnaona nimetoa ajira kwa vjana"

2.Fedha hizo (107bn) zinaweza kutumika kwenye kampeni 2020,kumbuka Baba mwenye nyumba kaya yake haina fedha kabisa so,ameamua kutumia njia mbadala ili aweze kupata fedha na njia hiyo ni KUBALI KUWA ULIIBA THEN,REJESHA KWA KUWA TUKIENDA MAHAKAMANI WEWE MHUJUMU MIPESA UTANISHINDA

3.Fedha hizo zinaweza kutumika kulipa mishahara kuanzia hivi sasa kwa kuwa chungu cha hazina kina hali mbaya

NB;nimeandika yote haya kwa mtazamo wa kinabii na taarifa nyeti kutoka jikoni (naomba andko hili libaki kama reference)

Asanteni!
 
Habar za muda huu ndugu wanajukwaa

Nadhani sote tunafaham kinachoendelea kati ya Baba mwenye nyumba wetu na wapangaji wake (kama huelewi sikiliza na kutazama vyombo vya habar#kurudisha pesa#wahujumu mipesa)

Kwa wale ambao hawafaham ni kwamba hapa Baba mwenye nyumba alizichanga karata zake vzr na bado anaendelea kuzichanga karata zake vrz japo kuna mahali tayar ameshachemka kidogo
Movie ipo namna hii;

Kumbuka movie hii haina trailer,movie inaanza 2015 Baba mwenye nyumba yupo kwenye majukwaa ya kisiasa akiomba kura na kula,hapo akawahadaa wapangaji#wananchi kuwa ataanzisha mahakama ya mafisadi (mwisho wa yote sina kumbukumbu kama mahakama hii ilianzishwa kwa kuwa hata mama wa sheria#katiba si dhani kama anaitambua mahakama hii)

Ukweli ni kwamba mahakama hii haikuanzishwa (kama ipo) kwaajili ya wahujumu mipesa bali ilianzishwa kwaajili ya kuwaadabisha maadui wa Baba mwenye nyumba hasa wale ambao hawakumsapoti kwenye mbio za marathon#Upuuzidenti 2015 so,wale ambao waliwasapoti watu wengine iwe ni ndani au nje ya chama ndyo hawa wanaokaangwa leo hii.Hoja chokonozi mbona Professor Anna#pesa ya mboga,Williameeee na Andulea walikwapua mpunga mrefu na leo hii wapo uraiani?
Huko kote Baba mwenye nyumba amefeli vbaya sana

ALIPOFELI ZAIDI:Baada ya kuona kuwa hawawezi hao anaowaita hawajumu mipesa akaamua kuwaundia zengwe,waji-commit kuwa waliiba hiyo mikwanja,warudishe kimya kimya swali je,yeye ndyo mahakama? mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani?
Ukweli usiosemwa ni kwamba Baba mwenye nyumba ameona hata akienda nao kwenye njia ya katiba hawezi kuwashinda watu hao so,BABA MWENYE NYUMBA AMEAMUA KUWAOMBA WAHUJUMU MIPESA MSAMAHA kwa mgongo wa kuandika barua na kurudisha kwa hiari kwa kuwa hawezi kuwashinda kwa njia ya sheria kama atasimama nao mahakamani pia,kesi hizo zingewaingiza watu wengine kwenye chain ikiwa ni pamoja na chama chake

KWANINI WATU WANALAZIMISHWA KUANDKA BARUA?
Nilimsikia DPP akidai kuwa inabidi kila mtu akiri kwa maandishi ili baadae asije ishtaki serikali lkn,huo sio ukweli.Ukweli uliofichwa ni huu;watu hao watatoa fedha hizo na baadae watakaporudi uraiani na kutaka kuishtaki serikali basi serikali (system) itayaanika mabaya yao kupitia barua watakazoziandka kwa kuwa kwenye barua hizo wanalazimishwa kuandka kila kitu kumbuka hapa muhusika atalazimika kuandika hata masuala ambayo hayahusiani na fedha na kama hata andka hivyo anaweza kurejeshewa barua yake na kuambiwa "barua yako haijitoshelezi"
Pia,hawa wahujumu mipesa wanaandaliwa kuwa watumwa wa kudumu kwa kuwa kama wengine hawatam-support Baba mwenye nyumba 2020 au kama wata-support upande pinzani basi wanaweza kufunguliwa kesi au kufilisiwa kupitia barua watakazoziandika

MATUMIZI YA FEDHA ZITAKAZOREJESHWA

Fedha hizo zitatumika kama ifuatavyo;

1.Zitatumika kuaajiri vjana waliohitimu vyuo mbalimbali kuanzia 2015 hadi hivi sasa ili kwenye kampeni za kusaka tonge 2020 Baba mwenye nyumba ajitape kuwa "nichagueni mimi si mnaona nimetoa ajira kwa vjana"

2.Fedha hizo (107bn) zinaweza kutumika kwenye kampeni 2020,kumbuka Baba mwenye nyumba kaya yake haina fedha kabisa so,ameamua kutumia njia mbadala ili aweze kupata fedha na njia hiyo ni KUBALI KUWA ULIIBA THEN,REJESHA KWA KUWA TUKIENDA MAHAKAMANI WEWE MHUJUMU MIPESA UTANISHINDA

3.Fedha hizo zinaweza kutumika kulipa mishahara kuanzia hivi sasa kwa kuwa chungu cha hazina kina hali mbaya

NB;nimeandika yote haya kwa mtazamo wa kinabii na taarifa nyeti kutoka jikoni (naomba andko hili libaki kama reference)

Asanteni!
MFA maji haachi kutapa, andiko lako linakuonesha ulivyo mtupu kichwani.
1. Hazina inakuwaje tupu wakati mwezi September TRA wamevunja rekodi ya makusanyo?
2. Hao watuhumiwa 400+, walioomba msamaha inamaana JPM ana visasi nao?
3. Waliopiga kelele kuhusu kutokamatwa kwa Rugemalila na Seth, ni wananchi kabla hata JPM hajagombea urais, hivyo wao kukamatwa hawana uhusiano na kampeni za 2015.
4. Marejesho ya wahujumu uchumi kulipa mishahara au kuajiri ni miongoni mwa matumizi ya serikali, ubaya upo wapi?
5. 2020, JPM haitaji pesa ili kushinda urais, utendaji kazi wake na uzalendo kwa Taifa ni Tunu za ushindi wake sio pesa.
6. Utaratibu wa msamaha kwa wahujumu uchumi wanapolipa walichoiba upo hata Ulaya. Ndio maana hata Messi na Ronaldo hulipa faini kwa kukwepa kodi badala ya kifungo.
NB: JPM ni jembe, huwaza na kutenda, wakati unajadili hili yeye anapanga jingine. Hakuna namna, unga mkono juhudi za JPM kwa Maendeleo ya Taifa
 
Vyovyote iwavyo awe amepatia au amekiuka sheria ukweli unabaki palepale kua sheria yenyewe ya kuzuia dhamana kwa mtuhumiwa wa makosa yasio ya mauwaji au uhaini ni sheria mbaya na ilitakiwa iondolewe siku nyingi

Kwa sheria hiyo haki za watu zimedhulumiwa, ndoa za zimevurugika, familia zimeparaganyika na watu wameumizwa. Mtu anakaa ndani miaka sita au saba wakati kesi yake ikimalizika na akikutwa na hatia adhabu ya kosa lake ni kifungo cha miaka miwili jela!!!

Wengine wanaachiwa kwa kukosekana ushahidi na wengine wamebambikiwa kesi. Ofisi ya Mtengeneza Mashtaka Mkuu anaonekana ku enjoy mamlaka hayo na mara kadhaa huitumia kuadhibu watu kabda ya Mahakama haijafanya hivyo

Kama kweli linawakera wengi akiwemo Hakimu Mkuu kwamba sheria hiyo ni mbaya basi wafanye mchakato wa kuifuta
 
Back
Top Bottom