Baba Mkwe wangu amemkatalia Mtoto wake kupanga nyumba ya marehemu mama

Mimi hayanihusu ila wife ndo anayaleta kwangu, ile nyumba ni ya mama wao hawana haki kuitumia mbona mzee ana iga'gania wakati yeye ndo alikua na jukumu la kuandalia hao watototo maisha.......wewe huoni kama kuna shida hapo
Mali ya mke ni ya mume pia kama ambavyo mali ya mume ni ya mke vilevile. Wana haki ya kurithi cha mama yao lakini na Mzee ana haki pia. Hawana haki kuitumia vipi na wana vyumba hapo? Mzee hana nguvu kama wao, wajitume!
 
Leo asubuhi mke wangu, amenipigia simu nimpe ushauri kuhusi hili jambo, kati ya Baba ake na kijana wake wa mwisho (aged 28) Tatizo liko hivi huyu kijana mdogo wake wife kapata wazo la kutafuta mke kwasabb umri unaenda bila kuanzisha familia, kazi alio nao sio zuri kivile ila inaweza kulisha mke.

Marehemu mama yao (mama mke wangu ) alivo fariki ali waachia nyumba ya urithi kutoka kwa babu yao, wanao pagisha kwa sasa wa ligawana vyumba kila mtoto kapata mgao wa chumba kimoja kimoja, yeye Baba yao kapata vitatu ambavyo ni self, kwa kudai kwamba yule alikua mkewe kwahiyo ana haki kubwa kuliko wao, hawakubisha kwa sabb ni baba yao mzazi.

Tatizo liko hapa huyu Mdogo wao wa mwisho mwezi hu katia nia ya kufunga ndoa, mahare kapambana na kalipia mwenyewe na ya lipokelewa bila hata msaada wa baba ake mzazi, ameomba Baba ake mzazi amuachie vile vyumba vitatu self, aishi pale na mke we kwa mda, badala kuvikodisha watu baki yeye avikodishe pesa ya pango atamlipa.

Baba amekata kata kata,.... hapo mke wangu ndo anataka kuingilia hi issue kwa kudai ile nyumba ilikua ya mama wao mzazi wana haki ya kuimiliki na kuitumia kifamilia kwa ussue kama hiyo, tena kibaya zaidi huyu baba licha cha kusitaafu kazi baada ya kifo cha mke we, kaoa mke mgine kwa makazi yale yale ya mama yao na wife na pesa ya kulisha huyu mke ina toka kwenye nyumba hiyo ya marehemu mama yao.

Jamani Wanaume mambo mengine tuone aibu mkewo hajamaliza hata mwaka kabrini umeoa kweli? inauma sana ila wife ni memshauri atulie aache jaziba ya kumiita Baba yake kua mbinafsi mwenye roho mbaya asie penda maendeleo ya watoto wake, nimemkataza hasiendi uku wala asipige simu kwasababu atakuja kupata laana bure mzazi anabaki kua mzazi ata kama amekosea. Au nimemshauri sivyo? yule baba mkwe iko 70+ kwasasa ana pressure ya kupanda asije akasababisha kifo chake bure.
Unavyo andika kumbuka na wewe ni mwanaume

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Mnaosema eti Mzee nyumba haimhusu mnakosea sana, hata Huyo mama aliyefariki kuwaachia watoto urithi alikosea sana huwezi sema eti nyumba ni ya watoto wakati anaachiwa urithi alikuwa ameolewa, na sheria inasema vyote vilivyopatikana katika ndoa ni vyao wote wawili, hao watoto wamevikuta maana yake aliyeachiwa kusimamia hizo Mali ni baba kama ambavyo baba akifa anabaki mama kusimamia Mali zote zilipatikana Kwa njia yoyote iwe ya kurithi au kutafuta. Na habari ya kusema et hajamsubiria mke wake aoze hata Kwa Mwaka mmoja hiyo ndiyo inaonyesha nini? Kwamba anampenda au anafanyaje mtu akishaondoka Bibilia inasema na kumbukumbu lake linafutwa.

Huyo mkeo na hao wadogo zake wasitafute laana Kwa baba yao, Bibilia inasema yeye anayebishana na Baba yake amelaaniwa hata kama mzazi huyo hajatamka lolote, kama anahela ya kupanga vyumba vitatu si akapange huko nje, usikute Mzee ameshtuka kwamba ni kampango kakumtoa kijanja kwa sababu ameoa tofauti na mlivyotaka nyie. Narudia tena huyo mkeo na wadogo zake wasitafute laana
 
Mali ya mke ni ya mume pia kama ambavyo mali ya mume ni ya mke vilevile. Wana haki ya kurithi cha mama yao lakini na Mzee ana haki pia. Hawana haki kuitumia vipi na wana vyumba hapo? Mzee hana nguvu kama wao, wajitume!
Hilo ndio hawajui kabisa, kwanza namlaumu marehemu hakutakiwa kuwaambia watoto si amemuacha mume, labda kama huyo mume hao sio watoto wake, Lakini ni wa kwake ndugu marehemu alikosea, watoto wasitembee katika hayo makosa
 
Mimi hayanihusu ila wife ndo anayaleta kwangu, ile nyumba ni ya mama wao hawana haki kuitumia mbona mzee ana iga'gania wakati yeye ndo alikua na jukumu la kuandalia hao watototo maisha.......wewe huoni kama kuna shida hapo
Mzee ana jukumu moja tu la kuwakuza na kuwasomesha, hizo habari za kuwaandalia maisha ni optional sio sharti..kila mtu aandae maisha yake.
 
Mkuu umemaliza kila kitu,matatizo ya kufuga mtoto mpaka miaka 28 hajui hata kodi inalipwaje ndo haya! Mi nshasema ni marufuku mtoto kujenga karibu yangu,na pia miaka 21 sikutaki kwangu siwezi pikia wanaume wawili mimi
Mi mzee wangu nimemaliza 6 ht chuo hakutaka niunge, akanitaftia kazi mkoa mwingine nikajifunze maisha kwanza...
kitu alinipa ni godoro tu la kwenda kuanzia maisha...
siku Napanda basi akaniambia me and u are done, you are on your own, ww ni mtoto wa kiume ukapambane, ila ntakua nakuja kukutembelea kuona unaendeleaje...
nlimind sana bt now naelewa kwa nn alinitenda vile...Thank you Mshua for turning a boy into a Man...
once i settled, i never looked back, na sijawahi kuwazia mali zake ht kidogo...I will do the same to my kids, wacha wakue niwashangaze na roho zao...
 
Mi mzee wangu nimemaliza 6 ht chuo hakutaka niunge, akanitaftia kazi mkoa mwingine nikajifunze maisha kwanza...
kitu alinipa ni godoro tu la kwenda kuanzia maisha...
siku Napanda basi akaniambia me and u are done, you are on your own, ww ni mtoto wa kiumbe ukapambane, ila ntakua nakuja kukutembelea kuona unaendeleaje...
nlimind sana bt now naelewa kwa nn alinitenda vile...Thank you Mshua for turning a boy into a Man...
once i settled, i never looked back, na sijawahi kuwazia mali zake ht kidogo...I will do the same to my kids, wacha wakue niwashangaze na roho zao...
Yaani huyo dinglii ni noma an ndo inatakiwa hivyo
 
dogo ataweza kuishi hapo kweli? naona si nzuri sana kwa afya ya ndoa yake, atafute mahali pa kwenda kupanga kichwa kifunguke kama anapesa kweli ya kupanga, mama wa kambo asije leta kizaazaa...
 
Leo asubuhi mke wangu, amenipigia simu nimpe ushauri kuhusi hili jambo, kati ya Baba ake na kijana wake wa mwisho (aged 28) Tatizo liko hivi huyu kijana mdogo wake wife kapata wazo la kutafuta mke kwasabb umri unaenda bila kuanzisha familia, kazi alio nao sio zuri kivile ila inaweza kulisha mke.

Marehemu mama yao (mama mke wangu ) alivo fariki ali waachia nyumba ya urithi kutoka kwa babu yao, wanao pagisha kwa sasa wa ligawana vyumba kila mtoto kapata mgao wa chumba kimoja kimoja, yeye Baba yao kapata vitatu ambavyo ni self, kwa kudai kwamba yule alikua mkewe kwahiyo ana haki kubwa kuliko wao, hawakubisha kwa sabb ni baba yao mzazi.

Tatizo liko hapa huyu Mdogo wao wa mwisho mwezi hu katia nia ya kufunga ndoa, mahare kapambana na kalipia mwenyewe na ya lipokelewa bila hata msaada wa baba ake mzazi, ameomba Baba ake mzazi amuachie vile vyumba vitatu self, aishi pale na mke we kwa mda, badala kuvikodisha watu baki yeye avikodishe pesa ya pango atamlipa.

Baba amekata kata kata,.... hapo mke wangu ndo anataka kuingilia hi issue kwa kudai ile nyumba ilikua ya mama wao mzazi wana haki ya kuimiliki na kuitumia kifamilia kwa ussue kama hiyo, tena kibaya zaidi huyu baba licha cha kusitaafu kazi baada ya kifo cha mke we, kaoa mke mgine kwa makazi yale yale ya mama yao na wife na pesa ya kulisha huyu mke ina toka kwenye nyumba hiyo ya marehemu mama yao.

Jamani Wanaume mambo mengine tuone aibu mkewo hajamaliza hata mwaka kabrini umeoa kweli? inauma sana ila wife ni memshauri atulie aache jaziba ya kumiita Baba yake kua mbinafsi mwenye roho mbaya asie penda maendeleo ya watoto wake, nimemkataza hasiendi uku wala asipige simu kwasababu atakuja kupata laana bure mzazi anabaki kua mzazi ata kama amekosea. Au nimemshauri sivyo? yule baba mkwe iko 70+ kwasasa ana pressure ya kupanda asije akasababisha kifo chake bure.
Kapqnge nyumba nyingine,kwani ni lazima akae nyumba hiyo tu?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Ninasimama na huyo mzee. Kwa nini huyo kijana asiende kupanga sehemu ambayo sio kwao. Tuchukulie hiyo nyumba ndio chanzo cha kipato cha huyo mzee je akimpangisha mwanae na akashindwa kulipa huko mbeleni itakuwaje na yeye anategemea hapo. Ngumu sana kumdai mwanao

Mzee ameona mbali. Mie nilishawahi kumpangisha kaka yangu kwenye apartment. Alikuwa mtu wa tungi na ilinisumbua sana kumwondoa baada ya kushindwa kulipa kwa wakati na kuleta visingizio vingi. Hapo nimekopa wakati najenga hizo apartments na narudisha fedha benki kwa kutumia kodi.

Toka siku hiyo niliapa sitakuja kumpangisha mtu ambaye nina undugu au urafiki nae na mpangaji anapitia kwa dalali tu na mie napokea kodi na kutoa instructions jinsi ya utunzaji nyumba siku ya kwanza na kutoa contacts just in case imetokea tatizo na sio business nyingine

Mzee amefanya kitu sahihi kabisa katika ulimwengu wa Real Estates za Bongo
 
Leo asubuhi mke wangu, amenipigia simu nimpe ushauri kuhusi hili jambo, kati ya Baba ake na kijana wake wa mwisho (aged 28) Tatizo liko hivi huyu kijana mdogo wake wife kapata wazo la kutafuta mke kwasabb umri unaenda bila kuanzisha familia, kazi alio nao sio zuri kivile ila inaweza kulisha mke.

Marehemu mama yao (mama mke wangu ) alivo fariki ali waachia nyumba ya urithi kutoka kwa babu yao, wanao pagisha kwa sasa wa ligawana vyumba kila mtoto kapata mgao wa chumba kimoja kimoja, yeye Baba yao kapata vitatu ambavyo ni self, kwa kudai kwamba yule alikua mkewe kwahiyo ana haki kubwa kuliko wao, hawakubisha kwa sabb ni baba yao mzazi.

Tatizo liko hapa huyu Mdogo wao wa mwisho mwezi hu katia nia ya kufunga ndoa, mahare kapambana na kalipia mwenyewe na ya lipokelewa bila hata msaada wa baba ake mzazi, ameomba Baba ake mzazi amuachie vile vyumba vitatu self, aishi pale na mke we kwa mda, badala kuvikodisha watu baki yeye avikodishe pesa ya pango atamlipa.

Baba amekata kata kata,.... hapo mke wangu ndo anataka kuingilia hi issue kwa kudai ile nyumba ilikua ya mama wao mzazi wana haki ya kuimiliki na kuitumia kifamilia kwa ussue kama hiyo, tena kibaya zaidi huyu baba licha cha kusitaafu kazi baada ya kifo cha mke we, kaoa mke mgine kwa makazi yale yale ya mama yao na wife na pesa ya kulisha huyu mke ina toka kwenye nyumba hiyo ya marehemu mama yao.

Jamani Wanaume mambo mengine tuone aibu mkewo hajamaliza hata mwaka kabrini umeoa kweli? inauma sana ila wife ni memshauri atulie aache jaziba ya kumiita Baba yake kua mbinafsi mwenye roho mbaya asie penda maendeleo ya watoto wake, nimemkataza hasiendi uku wala asipige simu kwasababu atakuja kupata laana bure mzazi anabaki kua mzazi ata kama amekosea. Au nimemshauri sivyo? yule baba mkwe iko 70+ kwasasa ana pressure ya kupanda asije akasababisha kifo chake bure.
sie nyumba yetu sala sala mzee alishafariki,na mama kishafariki lakini ote 4 tumesema hatupangishi wala kuiuza,na ote hatukai hapo sababu tunaamini si kwetu bali ni kwa wazazi wetu na itabakia hvyo hvyo kama kumbu kumbu tu ya wazee wetu
 
Mi mzee wangu nimemaliza 6 ht chuo hakutaka niunge, akanitaftia kazi mkoa mwingine nikajifunze maisha kwanza...
kitu alinipa ni godoro tu la kwenda kuanzia maisha...
siku Napanda basi akaniambia me and u are done, you are on your own, ww ni mtoto wa kiume ukapambane, ila ntakua nakuja kukutembelea kuona unaendeleaje...
nlimind sana bt now naelewa kwa nn alinitenda vile...Thank you Mshua for turning a boy into a Man...
once i settled, i never looked back, na sijawahi kuwazia mali zake ht kidogo...I will do the same to my kids, wacha wakue niwashangaze na roho zao...
Mkuu bado kakubeba sana yaani kitendo cha kukutafutia kazi tu kinatosha mimi ambaye sina Baba wala mama wala hiyo elimu ya 6 napambana kibabe tu hivyo hivyo
 
sie nyumba yetu sala sala mzee alishafariki,na mama kishafariki lakini ote 4 tumesema hatupangishi wala kuiuza,na ote hatukai hapo sababu tunaamini si kwetu bali ni kwa wazazi wetu na itabakia hvyo hvyo kama kumbu kumbu tu ya wazee wetu
Huenda nyie ote matajili na mume elimika unajua katika masuala ya urithi elimu pia inachagia kwa kiasi kikubwa
 
sie nyumba yetu sala sala mzee alishafariki,na mama kishafariki lakini ote 4 tumesema hatupangishi wala kuiuza,na ote hatukai hapo sababu tunaamini si kwetu bali ni kwa wazazi wetu na itabakia hvyo hvyo kama kumbu kumbu tu ya wazee wetu
Kiuchumi hamuitendei haki. Inabidi ipangishwe ili iweze kuingiza kipato. Ingekuwa kila nyumba duniani inaachwa tu kama kumbukumbu basi kungekuwa na magofu mengi sana mjini

Ipangisheni watu wasio na nyumba wapate makazi. Ni utaratibu wa dunia nzima
 
Back
Top Bottom