Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,670
Mpigie simu mwambie baba mkwe ile million tayari ipo ila imebaki 500,000 tu. Mwanao ameikopa laki 5 nyengine kwahio utamdai mwanao.Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
uyo mzee anapenda sana pesa we mwambie utampa kisha mwambie mtoto wake akaongee na babaake vizuri mahali inalipwa hata kwa miaka 10 wasikuchanganye hii ishu mkeo anahusika kuifosi.Nimeongea nae kaikubali ila sasa bado amenibana kwa kuniuliza nitamalizia lini kiasi kichobakia, kabla ya hapo alisita kuchukua kwakusema mbona kiasi ni kidogo ingekua Vizuri niongeze angalau ifike laki 7.
Msukuma njaa huyo. Utamaduni huwa ni huo huwa kuna wazee tangu mwanzo mnaelewa mahali yeye anakuwa ameshasema mahali isipungue kiasi hiki basi.Mbona mimi baba mkwe msukuma ananidai mahari kama songesha 😂next time akinipigia natia block
Kweli mkuu hapo kwenye mke kufosi itakua kweli maana kila siku ananiambia Umeongea na Baba, Umempigia Simu Baba. Nilitegemea yeye awe kimya kwasababu mimi na Baba yake tulikubalia na kuelewana sasa nashangaa yeye ndiyo anakua na kihere here cha kunisumbua nimpigie Baba yake nimlipe mahali yote.uyo mzee anapenda sana pesa we mwambie utampa kisha mwambie mtoto wake akaongee na babaake vizuri mahali inalipwa hata kwa miaka 10 wasikuchanganye hii ishu mkeo anahusika kuifosi.
Mkuu nimeshajichanganya nimempa ahadi tayari ndani ya miezi 3Yani kumbe una nusu na unapata shida?
Mpigie simu mwambie nakutumia nusu kuna mambo mengine yamenibana inadidi nimalizane nayo.
Na akikuuliza unamazilia lini mwambie nitakujulisha usimpe ahadi kama ulivyofanya.
Mtu unapompa ahadi na yeye anapanga mambo yake.
Mwisho mahali haimalizwi hata kama anasumbua.
Mkuu wengi hatuzoea mambo ya kusumbuliwa symbolically maana tuna jazba tunaweza kutoa majibu taka muuzi Baba mkweYani kumbe una nusu na unapata shida?
Mpigie simu mwambie nakutumia nusu kuna mambo mengine yamenibana inadidi nimalizane nayo.
Na akikuuliza unamazilia lini mwambie nitakujulisha usimpe ahadi kama ulivyofanya.
Mtu unapompa ahadi na yeye anapanga mambo yake.
Mwisho mahali haimalizwi hata kama anasumbua.
Kwahiyo Mzee wako hakumaliza yote ?Lipa hiyo mahari uishi kwa amani! Ingawa mahari huwa haidaiwi kihivyo mpaka mtu uteseke. Sisi baba alidaiwa na babu mpaka wakasahau! Tusidharau mila za watu!
Tatizo wazazi wetu hawafati Mila zao na wakati huo wataka wafate Mila kwenye kudai mahali ila kwenye kulipa Mahali kwa Vijana wao wanajifanya hawajui Mila, Mfano Mimi Mila la Kabila letu mahali ya kuolea inatakiwa itoke Nyumbani,Nichukue Ng'ombe niende kulipa Mahali kama alivyofanya Mzee wangu.Lipa hiyo mahari uishi kwa amani! Ingawa mahari huwa haidaiwi kihivyo mpaka mtu uteseke. Sisi baba alidaiwa na babu mpaka wakasahau! Tusidharau mila za watu!
Umeshalipa nusu?Mbona mimi baba mkwe msukuma ananidai mahari kama songesha 😂next time akinipigia natia block
Usiogope kumpigia,deni la mahari si sawa na madeni ya kawaida,mpigie na mwambie kuwa una nusu yake na nusu nyingi mpe tarehe nyingineHapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
Kijana, yaani matatizo madogo haya ndo yanakufanya ukose raha, uwe na hasira hadi uje uombe ushauri hapa?Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
Hiyo hailipwagi, mi nilimtapeli tu bamkwe na nikarudi na mzigo wangu wa maana bongo na sikulipa tena,Nimeongea nae kaikubali ila sasa bado amenibana kwa kuniuliza nitamalizia lini kiasi kichobakia, kabla ya hapo alisita kuchukua kwakusema mbona kiasi ni kidogo ingekua Vizuri niongeze angalau ifike laki 7.
Ndio umekuja kumsengenya Swahiba wangu na jana tukashindwa Kupombeka!Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
Ama kweli mahari siku hizi ina maana nyengine kabisa. Mtu ushaanza kuishi na mwanamke kwamiaka tele na pengine hata mshapata watoto halafu eti wazazi wanataka mahari, mahari ya nini? Mahari huko nyuma yalikuwa yakitumika kwa ajili ya sherehe za harusi lakini naona sasa wazee wanaiona kama ni mtaji tu.Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.