Baba Mkwe akikufuma na mchepuko unapaswa ufanyaje?

Baba Mkwe akikufuma na mchepuko unapaswa ufanyaje?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,858
Reaction score
4,562
Niaje WanaJamiiForums

Hivi pale inapotokea Baba yako Mkwe anakugumia upo na mchepuko unapaswa ufanye nini?
Na kikawaida ni ipi response ya Baba Mkwe baada ya kutoka eneo hilo
 
Kama amekufumania mkwewe wa kike - na yeye mtunuku ili akae kimya. Kama amekufumania mkwewe wa kiume - mnunulie bia alewe then uone atakavokupa maujanja ya kutofumaniwa tena
 
Toka nae mkukumkuku mpeleke sehemu choma nyama, mnywe bia za kutosha utashangaa anaanza kukusifia kwamba wewe ni dume la mbegu
 
Niaje WanaJamiiForums

Hivi pale inapotokea Baba yako Mkwe anakugumia upo na mchepuko unapaswa ufanye nini?
Na kikawaida ni ipi response ya Baba Mkwe baada ya kutoka eneo hilo
Ulisikia wapi wanaume wakafumaniana kwa mtu asiyekuwa mke wa mmojawao?
 
Niaje WanaJamiiForums

Hivi pale inapotokea Baba yako Mkwe anakugumia upo na mchepuko unapaswa ufanye nini?
Na kikawaida ni ipi response ya Baba Mkwe baada ya kutoka eneo hilo
Unamsingizia ni mchepuko wake na una mpanga manzi aseme kweli anatembea na baba mkwe wako kwisha! narudia tena kwishaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom