Baba mkali

Joined
Apr 20, 2012
Posts
19
Reaction score
3
Baba mmoja alikuwa mkali sana si kwa mke wake tu, bali hata kwa watoto wake. Bahati nzuri au mbaya alikuwa akienda kuoga llazima aanze na haja kubwa kwanza then ndo anaoga, na alipendelea kuoga maji ya vuguvugu...
Siku moja Mama na Watoto wakaamua nao kumkomesha Baba mwenyenyumba,
basi wakamuandalia maji ya MOTO badala ya vuguvugu, sasa DINGI alipoenda kuoga akaanza na haja kubwa kwanza, BALAA LIKAMKUMBA WAKATI WA KUJITAWAZA, ile kutia maji tu akapiga kelele, "WAAAAAAAAAAAAH!!! NANI ALIYEWEKA HAYA MAJI???"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…