NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
- Thread starter
- #21
Nimemuliza imekuaje huko nyuma kasemaje? kasema Mkeo unampa sana uhuru tabia hii itanifanya nisije kwako kamautamsikiliza mumeo atakwambia cha kufanya!
nisivyokwenda kwa wanagu tena mwambie aje aombe msamaha na asirudie tena niliishia kuchekaa wallah...sasa naomba msamaha kwa kosa gani?