Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu

NIMPENDENANI

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
6,114
5,380
Habari za Leo Waungwana!

Nyumbani kwetu tumejiwa na mgeni ambae ni Baba mdogo wa mume wangu. Atakuwa kwetu kama 15 days. Amekuja medical na mkewe na watoto wa3. Tangu wamekuja leo ni siku ya 4.

Cha kushangaza leo asubuhi wakati watoto wanakwenda school wamekuja kutuaga which is normal. Huwa wanatukumbatia then wanaondoka na sisi pia me and my Hubby we Kiss and hug kila mtu anaingia kwenye gari yake safari ya kazini inaanza.

Huyu Mzee kuona leo namuhug mume wangu ili niingie kwenye gari katoka ndani mbio kamuita Hubby. Sasa sikuweza kuondoka ikabidi nisiingie kwenye gari nimsalimie, hakutaka hata kujibu salamu. Anagomba anamwambia my Hubby malezi gani haya unayolea watoto wako na mkeo? Hamuoni aibu mnakumbatiana, mambo ya kufanya chumbani mnafanya hapa, tabia gani hii mnatuonyesha nini?

Tangu nimeingia hapa naona tuu asubuhi mwaaaaaaaaaa! jioni mwaaaaaaaaaaa! Kama hamtaki wageni nyumbani kwenu semeni bwana msitunyanyase. Mimi sikuwa na la kusema nilirudi tena nikajikuta namhug tena my hubby nikamwambia siku njema tutaongea baadae.

Mzee kasema nataka kuongea na wewe mama mwenye nyumba jioni.

Ikumbukwe huyu baba ana wanawe na hawaongei wapo mji huu niliko mimi, watoto wake wa kike 38 na mwengine 41 na 28 ndio alokuja nao. Wote wa kike hawajaolewa kwa midomo yao. Wako kwangu lakini wanamwambia dada apike wanachotaka wao, wao hawawezi kula chakula cha kuchemsha kama wako Hospital.

Sasa najiuliza huyu mzee anataka nimjibu nini? Nimehisi nimnyamazie wakati anaongea sababu its just a matter of 11days anaondoka zake au atahisi nikinyamaza ntakua nimemdharau?

Waungwana naomba busara zenu as sio kama namchukia ila sipendi mtu anipangie sheria nyumbani kwangu. Ingekua nimevua nguo sawa lakini it was just a normal hug and kiss to my hubby na hata akiwepo nani tumeshazowea
kokote kule hata tuwe tumegombana as long as mmoja wetu ametoka akirudi Kiss and Hug ni must.
 
Habari za Leo Waungwana!
Nyumbani kwetu tumejiwa na mgeni ambae ni Baba mdogo wa Mumewangu,atakua kwetu
kama 15days amekuja Medical na mkewe na watoto wa3,tangu wamekuja leo ni siku ya 4

Chakushangaza leo asubuhi wakati watoto wanakwenda school wamekuja kutuaga which is normal
to hua wana tu hug then wanaondoka,na sisi pia me and my Hubby we Kiss and hug kila mtu anaingia kwnye gari yake safari ya kazini inaanza..
Huyu Mzee kuona leo namu Hug mumewangu ili niingie kwenye gari Katoka ndani mbio kamuita
Hubby sasa sikuweza kuondoka ikabidi nisiingie kwenye gari nimsalimie, hakutaka hata kujibu
salam ana gomba anamwambia my Hubby malezi gani haya unayo lea watoto wako na mkeo
hamuoni aibu mnakumbatia mambo yakufanya chumbani mnafanya hapa tabia gani hii mnatuonyesha nini?
tangu nimeingia hapa naona tuu asubuhi mwaaaaaaaaaa! jioni mwaaaaaaaaaaa! kama hamtaki
wageni nyumbani kwenu semeni bwana msitu nyanyase, mimi sikua na lakusema nilirudi tena nikajikuta nam Hug tena my hubby nikamwambia siku njema tutaongea baadae...
Mzee kasema nataka kuongea na wewe mama mwenye nyumba jioni..

Ikumbukwa huyu Baba ana wanawe na hawaongei wapo mji huu niliko mimi,watoto wake wakike
38 na mwengine 41 na 28 ndio walokuja nao wote wakike hawajaolewa kwa midomo yao,wako kwangu lakini wanamwambia Dada apike wanachotaka wao wao hawawezi kula chakula cha kuchemsha kama wako Hospital,sasa najiuliza huyu mzee anataka nimjibu nini?
nimehisi nimnyamazie wakai anaongea sababau its just a matter of 11days anaondoka zake
au atahisi nikinyamaza ntakua nimemdharau,waungwana naomba busara zenu as sio kama
namchukia ila sipendi mtu anipangie sheria nyumbani kwangu,ingekua nimevua nguo sawa
lakini it was just a normal hug and kis to my hubby na hata akiwepo nani tumeshazowea
kokote kule hata tuwe tumegombana as long as mmoja wetu ametoka akirudi Kiss and Hug
must...
Hivi kwani ni lazima kila kitu mkiweke mtandaoni? Hayo ni mambo ya familia.
Kweli wanawake wa mtandaoni ni shida
 
Habari za Leo Waungwana!
Nyumbani kwetu tumejiwa na mgeni ambae ni Baba mdogo wa Mumewangu,atakua kwetu
kama 15days amekuja Medical na mkewe na watoto wa3,tangu wamekuja leo ni siku ya 4

Chakushangaza leo asubuhi wakati watoto wanakwenda school wamekuja kutuaga which is normal
to hua wana tu hug then wanaondoka,na sisi pia me and my Hubby we Kiss and hug kila mtu anaingia kwnye gari yake safari ya kazini inaanza..
Huyu Mzee kuona leo namu Hug mumewangu ili niingie kwenye gari Katoka ndani mbio kamuita
Hubby sasa sikuweza kuondoka ikabidi nisiingie kwenye gari nimsalimie, hakutaka hata kujibu
salam ana gomba anamwambia my Hubby malezi gani haya unayo lea watoto wako na mkeo
hamuoni aibu mnakumbatia mambo yakufanya chumbani mnafanya hapa tabia gani hii mnatuonyesha nini?
tangu nimeingia hapa naona tuu asubuhi mwaaaaaaaaaa! jioni mwaaaaaaaaaaa! kama hamtaki
wageni nyumbani kwenu semeni bwana msitu nyanyase, mimi sikua na lakusema nilirudi tena nikajikuta nam Hug tena my hubby nikamwambia siku njema tutaongea baadae...
Mzee kasema nataka kuongea na wewe mama mwenye nyumba jioni..

Ikumbukwa huyu Baba ana wanawe na hawaongei wapo mji huu niliko mimi,watoto wake wakike
38 na mwengine 41 na 28 ndio walokuja nao wote wakike hawajaolewa kwa midomo yao,wako kwangu lakini wanamwambia Dada apike wanachotaka wao wao hawawezi kula chakula cha kuchemsha kama wako Hospital,sasa najiuliza huyu mzee anataka nimjibu nini?
nimehisi nimnyamazie wakai anaongea sababau its just a matter of 11days anaondoka zake
au atahisi nikinyamaza ntakua nimemdharau,waungwana naomba busara zenu as sio kama
namchukia ila sipendi mtu anipangie sheria nyumbani kwangu,ingekua nimevua nguo sawa
lakini it was just a normal hug and kis to my hubby na hata akiwepo nani tumeshazowea
kokote kule hata tuwe tumegombana as long as mmoja wetu ametoka akirudi Kiss and Hug
must...
Hujui cha kufanya!! Fukuza wote.
 
Mmezidi kujifanya wazungu bila kujali kuna wageni.Haya mambo mmeyaiga tuu halafu mwataka kila mtu aone.Pia wewe mama huna adabu yaani mmeo anagombezwa kwa suala hilo halafu unalirudia tena hapo hapo.Umemsababishia matatizo mumeo na usishangae akakubadirikia badaye
Tueshimiane,niko kwangu sijakwenda nuymbani kwake au kwa mtu,maisha yangu na familia yangu yeye mgeni wakupita njia asinipangie,anakwa wanawe alowazaa kumemshinda kwa mdomo wake ...
 
Habari za Leo Waungwana!
Nyumbani kwetu tumejiwa na mgeni ambae ni Baba mdogo wa Mumewangu,atakua kwetu
kama 15days amekuja Medical na mkewe na watoto wa3,tangu wamekuja leo ni siku ya 4

Chakushangaza leo asubuhi wakati watoto wanakwenda school wamekuja kutuaga which is normal
to hua wana tu hug then wanaondoka,na sisi pia me and my Hubby we Kiss and hug kila mtu anaingia kwnye gari yake safari ya kazini inaanza..
Huyu Mzee kuona leo namu Hug mumewangu ili niingie kwenye gari Katoka ndani mbio kamuita
Hubby sasa sikuweza kuondoka ikabidi nisiingie kwenye gari nimsalimie, hakutaka hata kujibu
salam ana gomba anamwambia my Hubby malezi gani haya unayo lea watoto wako na mkeo
hamuoni aibu mnakumbatia mambo yakufanya chumbani mnafanya hapa tabia gani hii mnatuonyesha nini?
tangu nimeingia hapa naona tuu asubuhi mwaaaaaaaaaa! jioni mwaaaaaaaaaaa! kama hamtaki
wageni nyumbani kwenu semeni bwana msitu nyanyase, mimi sikua na lakusema nilirudi tena nikajikuta nam Hug tena my hubby nikamwambia siku njema tutaongea baadae...
Mzee kasema nataka kuongea na wewe mama mwenye nyumba jioni..

Ikumbukwa huyu Baba ana wanawe na hawaongei wapo mji huu niliko mimi,watoto wake wakike
38 na mwengine 41 na 28 ndio walokuja nao wote wakike hawajaolewa kwa midomo yao,wako kwangu lakini wanamwambia Dada apike wanachotaka wao wao hawawezi kula chakula cha kuchemsha kama wako Hospital,sasa najiuliza huyu mzee anataka nimjibu nini?
nimehisi nimnyamazie wakai anaongea sababau its just a matter of 11days anaondoka zake
au atahisi nikinyamaza ntakua nimemdharau,waungwana naomba busara zenu as sio kama
namchukia ila sipendi mtu anipangie sheria nyumbani kwangu,ingekua nimevua nguo sawa
lakini it was just a normal hug and kis to my hubby na hata akiwepo nani tumeshazowea
kokote kule hata tuwe tumegombana as long as mmoja wetu ametoka akirudi Kiss and Hug
must...
utamsikiliza mumeo atakwambia cha kufanya!
 
Tueshimiane,niko kwangu sijakwenda nuymbani kwake au kwa mtu,maisha yangu na familia yangu yeye mgeni wakupita njia asinipangie,anakwa wanawe alowazaa kumemshinda kwa mdomo wake ...
Mama sikiliza hapo kwa jicho la huyo mzee ni kwa mwanawe na hapa kwetu mke ni mtu wa kupita tuuu,wewe ndo wakupita siyo yeye,siku hizi mnajidanganya kwamba mambo yamebadirika,jifunze unyenyekevu mbele ya wakwe mama.Pia,mama huwezi jua mchango wa huyo mzee kwa mumeo toka anasoma.
 
Back
Top Bottom