Baba Mama na Mtoto.............nani amewaona?.

Baba Mama na Mtoto.............nani amewaona?.

NDUKI

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
3,440
Reaction score
2,450
family.gif
 
Yani wote mmeshindwa kuwaona asee.
 
Baba kaangalia kulia na ana mustach, mtoto katazama nyuma namtafuta mama
 
Baba kaangalia kulia na ana mustach, mtoto katazama nyuma namtafuta mama

Mama mbona yupo hapo hapo mtazame uzuri tu mkuu...........baba na mtoto umepata kiongozi.
 
Baba katazama kulia, mama katazama kushoto, mtoto yupo chini ya pua ya baba
 
Ni babu, bibi na mjukuu ni muendelezo wa old lady - young lady paradox.
 
Back
Top Bottom