Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Msanii wa Bongo Fleva ambaye pia ni Mtangazaji wa Wasafi FM, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, na mtia nia Ubunge Jimbo la Kigoma mjini Kupitia CCM, amekea vikali kauli za Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe aliyoitoa kuwa Wasanii, Wachekeshaji na Watangazaji sio watu sahihi wa Kugombea Ubunge.
Baba Levo amesema kauli za Kiongozi huyo ni za Kibaguzi kwa Wana tasnia hizo, kwani zimezalisha ajira nyingi mno ambazo yeye akiwa Kiongozi kwa zaidi ya Miaka 15 ameshindwa kuzitengeneza.
Baba Levo amesema kauli za Kiongozi huyo ni za Kibaguzi kwa Wana tasnia hizo, kwani zimezalisha ajira nyingi mno ambazo yeye akiwa Kiongozi kwa zaidi ya Miaka 15 ameshindwa kuzitengeneza.