GE2025 Baba Levo: Nawashangaa wanaomshabikia Polepole

GE2025 Baba Levo: Nawashangaa wanaomshabikia Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Amekiri kuwa ana uwezo mdogo kielimu,ameishia darasa la saba. Uwezo wake wa kuchakata na kupembua kiyakinifu habari za Polepole ni mdogo sana.
Ana haki ya kuwashangaa wanaomshabikia Polepole
 
Anachokisema baba levo ndicho kilikuwa kunafanyika kipindi kile kwa baadhi ya majibu ya upanzani

Sioni tatizo hapo
 
Ni kawaida mgonjwa wa akili kuwashangaa na kuwaona walio timamu ndio wagonjwa na si yeye kitaalam inaitwa delirium.
 
Anachokisema baba levo ndicho kilikuwa kunafanyika kipindi kile kwa baadhi ya majibu ya upanzani

Sioni tatizo hapo
Nawewe kumbe mjinga kama huyu tutusa chawa wa Diamond, Polepole aliacha ukatibu wenezi miaka mingapi nyuma? Polepole anamiaka 4 kaisha pita waenezi kama wamne,inamaana amri ya Polepole ilikuwa ni sheria ilishindwa kutenguliwa, kwakweli mwaka huu tutasikia mengi.
 
Nawewe kumbe mjinga kama huyu tutusa chawa wa Diamond, Polepole aliacha ukatibu wenezi miaka mingapi nyuma? Polepole anamiaka 4 kaisha pita waenezi kama wamne,inamaana amri ya Polepole ilikuwa ni sheria ilishindwa kutenguliwa, kwakweli mwaka huu tutasikia mengi.
Waliovuruga uchaguzi wa 2019 na 2020

Hapo unamteteaje polepole hujui polepole alikuwa sehemu ya madalali wa JPM kununua wapinzani na kuwapa vyeo?

Au ww ni mgeni kweny siasa za bongo?

Ni ujinga mtupu kumpa airtime MTU kama polepole

Watu kama polepole ni wakupuuzwa kwasbb wao ndy walio kandamiza zaidi upinzani
 
Waliovuruga uchaguzi wa 2019 na 2020

Hapo unamteteaje polepole hujui polepole alikuwa sehemu ya madalali wa JPM kununua wapinzani na kuwapa vyeo?

Au ww ni mgeni kweny siasa za bongo?

Ni ujinga mtupu kumpa airtime MTU kama polepole

Watu kama polepole ni wakupuuzwa kwasbb wao ndy walio kandamiza zaidi upinzani
Pole pole alikuwa tume ya uchaguzi?
 
Back
Top Bottom