Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
"Hakuna Kazi Nyengine Nitakayoifanya Zaidi Ya Kumsaida Dkt. Samia Suluhu Hassan Ili Akija Katika Jimbo Hili La Kigoma Mjini Sio Kumpigia Tu Kura Tumrundikie"
Baba Levo ameyasema hayo jana Mei 20, Mkoani Kigoma wakati alipokutana na Wanachama wa CCM na kukabidhiwa Kadi ya Uanachama na kutambulika kama Mwanachama wa Chama hicho na si ACT Wazalendo huku akiwa na nia ya Kugombea Ubunge Kigoma Mjini.
Baba Levo ameyasema hayo jana Mei 20, Mkoani Kigoma wakati alipokutana na Wanachama wa CCM na kukabidhiwa Kadi ya Uanachama na kutambulika kama Mwanachama wa Chama hicho na si ACT Wazalendo huku akiwa na nia ya Kugombea Ubunge Kigoma Mjini.