BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,906
- 8,105
Siamini huyu kiazi eti amechaguliwa na wananchi
siwezi kuamini kabisaa
NRNE Ni elimu pana sana!
siwezi kuamini kabisaa
NRNE Ni elimu pana sana!
Hata kama umeangusha ndege hilo halituhusu,ila cha kufahamu hiyo sii tiketi ya ubora zaidi yamtanzania mwingine,sii tiketi yaufisadi,sii tiketi ya kupitisha sheria za hovyo kwa kujua au kwakutumiwa na wenye maslahi binafsi.Hivyo ni imani yangu kuwa pamoja na sarakasi za chafuzi,ulitakiwa kwanza uwe mwenye aibu hata kiasi cha kuficha sura.Ila nijuavyo kwa tanzania ilipofika uchawa ni ngazi na daraja ya mafanikio kwa chawa na washirika wao,ila cha kujua muda ukuta na tanzania ipo kwenye mkwamo tayari.Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo alivyojitambulisha Bungeni leo Novemba 11, 2025.