Baba kutembea na mwanae wa kike

Baba kutembea na mwanae wa kike

stable woman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
3,883
Reaction score
4,484
Habarini???

Nimeshuhudia matukio matatu ya aina hii ya baba wa familia kutoka kimapenzi na bintiye, wa kwanza ni mwanaume aliembikiri mwanae wa darasa la 6 wa kumzaa mwenyewe baada ya kuachana na mkewe

Wa pili ni baba anaetembea na bintie wakati mkewe wa ndoa yupo na anaishi na wote wawili nyumba moja

Na wa mwisho ni mwanaume anaetembea na mtoto wa kufikia namaanisha mtoto mkubwa wa mkewe

Sasa napenda kufahamishwa nini hasa chanzo cha haya mambo?? Na je nini hatma yake? Tujadili hili
 
Kuna baadhi inakuwa ni ushirikina....... Utakuta baba anaenda kwa mganga kwa lengo la kupata mali halafu anapewa masharti na mganga huyo kuwa atembee na mwanae/dada yake/ mama yake wa kumzaa. Hata mtoto anakuwa hajitambui kwasababu anachanganywa na madawa
 
Habarini???

Nimeshuhudia matukio matatu ya aina hii ya baba wa familia kutoka kimapenzi na bintiye, wa kwanza ni mwanaume aliembikiri mwanae wa darasa la 6 wa kumzaa mwenyewe baada ya kuachana na mkewe

Wa pili ni baba anaetembea na bintie wakati mkewe wa ndoa yupo na anaishi na wote wawili nyumba moja

Na wa mwisho ni mwanaume anaetembea na mtoto wa kufikia namaanisha mtoto mkubwa wa mkewe

Sasa napenda kufahamishwa nini hasa chanzo cha haya mambo?? Na je nini hatma yake? Tujadili hili

dunia imefikia ukingoni nilishuhudia siku moja msasani beach club binti na baba wamekaa meza moja na binti kavaa bikini halafu baba akipigiwa simu binti anaona wivu anahoji !binti alikuwa under 20 it was quite a scene
 
dunia imefikia ukingoni nilishuhudia siku moja msasani beach club binti na baba wamekaa meza moja na binti kavaa bikini halafu baba akipigiwa simu binti anaona wivu anahoji !binti alikuwa under 20 it was quite a scene

Mmmmh aiseee too bad!
 
Kuna mzee mmoja inasadikika aliua mkwewe kishirikina ili aendelee kupeta na mwanae!! Hilo toto limejazia aibuu ila vijana wanaliogopa vibaya mno sababu ya wivu wa baba yake, hampi nafasi kabisa
 
Ifahamike pia kuwa sio kila jambo linatokana na vitendo vya ushirikina, ila kwa sasa kuna momonyoko mkubwa wa maadili ya Kijamii. Nchi yetu inapitia kwenye kipindi kigumu, kwani kuanzia Ikulu hadi kwa mwananci wa kawaida kule Kishumundu wamepotoka kimaadili. Tuisaidie nchi yetu kwa kururudisha mila na desturi za awali.
 
dunia imefikia ukingoni nilishuhudia siku moja msasani beach club binti na baba wamekaa meza moja na binti kavaa bikini halafu baba akipigiwa simu binti anaona wivu anahoji !binti alikuwa under 20 it was quite a scene

Hii kali! Haki ya nani, aisee!
 
Eehh Allah tuepushe na haya majanga.

Yes, kuna visa vingi sana, tuliopo zamani tulikuwa tukiyasikia tu na yalikuwa ni mambo ambayo tukiyaita ya kishenzi na kishirikina, lakini sasa dunia inabadilika kwa haraka, tunayaona kwa macho.

Licha ya kuwa kuna kila sababu za kishirikina, pia kuna sababu za kimaadili. Maadili yamekuwa duni na dhaifu sana, leo mtoto anavaa suruali imembana makalio halafu anamuuliza baba'ke "how do I look Dad?" imagine mababa wenyewe ndio hao walevi na mabazazi. What do we expect?

Ikiwa leo dini ambazo tunategemea ndio ziwe chombo cha kwanza cha kufunza mema na mabaya tunakuta hao hao kwenye uongozi wa dini ndio wanaruhusu ndoa za jinsia moja, wao wa kwanza kuharibu watoto, wao wa kwanza kulawiti na kulawitiwa na watoto. What shall we expect?

Juzi nimesoma habari, Umoja wa Mataifa unalilaumu Kanisa Katoliki kwa kukataa kuwawachisha uongozi mapadre na maaskofu waliowaharibu watoto kwa makusudi kabisa. Tutegemee nini ikiwa Kanisa kubwa duniani lipo mstari wa mbele kuharibu watoto mpaka Umoja wa Mataifa unaingilia lakini wapi, wameshikilia uzi uleule.

Hivi hao Wazee waliokwisha-fanyiwa hivyo na mapadri (aka Mababa wa Kanisa) toka utoto wao, watakuwa si wanaona kawaida tu na wao kuwafanyia watoto zao. Fikiri.

Maadili, maadili, maadili.
 
Ni maisha waliochagua, dunia haijafika ukingoni na haitafika ukingoni no sooner. Enzi za agano la kale kulikuwa na sodoma na gomora. Hizi dhambi ni marudio ya walofanya mababu zetu. Kwahyo hao wanaume ni wameona waishi hvyo.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Ifahamike pia kuwa sio kila jambo linatokana na vitendo vya ushirikina, ila kwa sasa kuna momonyoko mkubwa wa maadili ya Kijamii. Nchi yetu inapitia kwenye kipindi kigumu, kwani kuanzia Ikulu hadi kwa mwananci wa kawaida kule Kishumundu wamepotoka kimaadili. Tuisaidie nchi yetu kwa kururudisha mila na desturi za awali.

Sio nchi yetu tu sema dunia yetu. Hakuna nchi ambayo huniacha hoi kama Zimbabwe. Kuna kisa kimoja sitakisahau kamwe.
Baba mmoja alizaa na kulea mtoto wake wa kike hadi akipofikia kubalehe, akamtongoza na kuanza kutembea naye. Kisha akampa mimba bintiye huyo. Mimba ikakua baadaye akajifungua salama mtoto mzuri wa kike. Wakamlea akakua akafikia kubalee. Amini msiamini baba yule yule akamtogoza mtoto aliyezaa na bintiye naye akaanza kutembea naye! Umeipata hiyo?
 
Laana kubwa, sipendi hata kusikia...

Habarini???

Nimeshuhudia matukio matatu ya aina hii ya baba wa familia kutoka kimapenzi na bintiye, wa kwanza ni mwanaume aliembikiri mwanae wa darasa la 6 wa kumzaa mwenyewe baada ya kuachana na mkewe

Wa pili ni baba anaetembea na bintie wakati mkewe wa ndoa yupo na anaishi na wote wawili nyumba moja

Na wa mwisho ni mwanaume anaetembea na mtoto wa kufikia namaanisha mtoto mkubwa wa mkewe

Sasa napenda kufahamishwa nini hasa chanzo cha haya mambo?? Na je nini hatma yake? Tujadili hili
 
"Kuna matoto mengine mashalah hadi unajuta kuwa baba yake"
ni maneno ya mzee mmoja wa Ubungo ambaye inasadikika ameshawahi kummega bintiye wa kumzaa ingawa binti ni kweli ameumbika, ninavyo mfahamu ni mzee wa kilevi sana, so huenda ni pombe zinamtuma au imani potofu.
 
Sio nchi yetu tu sema dunia yetu. Hakuna nchi ambayo huniacha hoi kama Zimbabwe. Kuna kisa kimoja sitakisahau kamwe.
Baba mmoja alizaa na kulea mtoto wake wa kike hadi akipofikia kubalehe, akamtongoza na kuanza kutembea naye. Kisha akampa mimba bintiye huyo. Mimba ikakua baadaye akajifungua salama mtoto mzuri wa kike. Wakamlea akakua akafikia kubalee. Amini msiamini baba yule yule akamtogoza mtoto aliyezaa na bintiye naye akaanza kutembea naye! Umeipata hiyo?

Whaaaaat?????😱😱😱😱
 
dunia imefikia ukingoni nilishuhudia siku moja msasani beach club binti na baba wamekaa meza moja na binti kavaa bikini halafu baba akipigiwa simu binti anaona wivu anahoji !binti alikuwa under 20 it was quite a scene
kuhiji simu ya mwanae si wivu sidhani kama busara binti yako kumwacha aongee tu na watu hasa kwa umri wa under 20. Hata mama kwa mtoto wake wa under 20 atamuuliza ni nani anakupigia simu.
 
Kuna baadhi inakuwa ni ushirikina....... Utakuta baba anaenda kwa mganga kwa lengo la kupata mali halafu anapewa masharti na mganga huyo kuwa atembee na mwanae/dada yake/ mama yake wa kumzaa. Hata mtoto anakuwa hajitambui kwasababu anachanganywa na madawa

Watu huwa tunakuwa wepesi kusingizia ushirikina kila zikija hizi issue.Ukweli ni kuwa hili ni tatizo na lipo kwenye kila jamii ya binadamu duniani. Na hizo jamii zingine suala la ushirikina sio kitu walichonacho karibu kama sisi. Tatizo lipo na ni zaidi ya hilo la ushirikina.
 
mfano;mtoto atakayezaliwa endapo huyo baba atamjaza mimba mwanae, wataitanaje ,mama au dada.
 
Back
Top Bottom