Tuna firka za kimaskini sana. Tunakopa mikopo lukuki ili kujenga madaraja na barabara. Mwisho wa ngwe tunaiambia jamii kwamba oneni maendeleo niliwapa, nimejenga barabara, madaraja n.k. Lakini vyote hivyo ni mikopo.
Baba mkweli ni yule anayetumia kipato chake halali na kujenga nyumba. Ni heri baba anayeacha kajenga nyumba mbili tu kwa jasho lake kuliko baba anayeacha nyumba 20 lakini zote ni mikopo.
Kipindi cha Mkapa walau uongozi ulielewa nini maana ya deni la taifa. Alipoingia timu mchwa huyo hakuelewa kabisa national debt ni nini. Sasa tuna timu bush, huyu mtata. Ananunua ndege kwa cash, anajenga daraja kwa mkopo. National debt inakuwa kwa kasi kubwa mno.
Baba mkweli ni yule anayetumia kipato chake halali na kujenga nyumba. Ni heri baba anayeacha kajenga nyumba mbili tu kwa jasho lake kuliko baba anayeacha nyumba 20 lakini zote ni mikopo.
Kipindi cha Mkapa walau uongozi ulielewa nini maana ya deni la taifa. Alipoingia timu mchwa huyo hakuelewa kabisa national debt ni nini. Sasa tuna timu bush, huyu mtata. Ananunua ndege kwa cash, anajenga daraja kwa mkopo. National debt inakuwa kwa kasi kubwa mno.