baba jamba tena

baba jamba tena

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,806
Reaction score
14,373
kulikuwa na baba ambaye siku zote alikuwa anamazoea ya kujamba mbele ya mwanae.
basi siku ya siku wageni wamekuja kumtembelea wako sebuleni,wakati huo dogo hakuwepo.
baada ya muda si mrefu dogo akaingia sebuleni ghafla bila ya kujua kuna wageni akatamka
BABA JAMBA TENA.............
 
Waswahili husema:Kama mume/mke kujamba tu anakuficha (hujawahi msikia)ujue ana siri nyingi anaficha.Ila tuwe wastaarabu!
 
Back
Top Bottom