Prezdaa Shaco
Member
- Sep 3, 2013
- 46
- 8
Naombeni Msaada wenu,
Nimempeleka ustawi wa jamii mwanamke alienizalia mwanangu ili ikiwezekana anipe mwanangu nimlee mwenyewe kwani mazingira anayoishi nae mwanangu hayaniridhishi. Lakini Ustawi wa jamii inaonekana ipo kuwatetea wanawake na sio wanaume kwani licha ya kuwaambia naitaji nimlee mwanangu mwenyewe ili kumuokoa na mazingira hatarishi anamoishi lakini walimtetea mwanamke kuendelea kukaa nae mtoto na mimi niendelee kupeleka matumizi.
Roho inaniuma kwani nilimwandikisha English Medium amesoma miaka miwili hana alichojua kuandika wala kukisoma kwakua akirudi nyumbani hamna wa kumsimamia.
Naombeni msaada nitumie njia ipi niweze kumpata mtoto kabla ya kufikia miaka saba kwani kwa sasa ana miaka mitano lakini naona kama anaharibikiwa mana mama ake amemtoa private amempeleka public school na nimeenda ustawi wa jamii pia haikuwa msaada kwangu.
Nimempeleka ustawi wa jamii mwanamke alienizalia mwanangu ili ikiwezekana anipe mwanangu nimlee mwenyewe kwani mazingira anayoishi nae mwanangu hayaniridhishi. Lakini Ustawi wa jamii inaonekana ipo kuwatetea wanawake na sio wanaume kwani licha ya kuwaambia naitaji nimlee mwanangu mwenyewe ili kumuokoa na mazingira hatarishi anamoishi lakini walimtetea mwanamke kuendelea kukaa nae mtoto na mimi niendelee kupeleka matumizi.
Roho inaniuma kwani nilimwandikisha English Medium amesoma miaka miwili hana alichojua kuandika wala kukisoma kwakua akirudi nyumbani hamna wa kumsimamia.
Naombeni msaada nitumie njia ipi niweze kumpata mtoto kabla ya kufikia miaka saba kwani kwa sasa ana miaka mitano lakini naona kama anaharibikiwa mana mama ake amemtoa private amempeleka public school na nimeenda ustawi wa jamii pia haikuwa msaada kwangu.