Baba au Mama?

Baba au Mama?

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,079
Reaction score
468
Fikiria una shilling laki moja na unatakiwa kumpa mzazi wako mmoja tu. Utampa nani Baba au Mama.
 
Naigawa Mara mbili wote nawapa elfu hamsini wazazi wote ni muhimu kwangu
siwezi kubagua Mungu hapendi.
 
wote siwapi! natafutia biashara ikifika laki2 ndo nawagawia wote.
 
Back
Top Bottom