Gwajima siyo mchungaji, bali anatumia Psychology of religious mobilisation with superstition clue techniques. It Includes use of:Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.
Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?
Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?
Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?
Serikali Ya Awamu Ya 5 Kwa Kujibana Sana, Ndo Imenunua Bomberdier 2. Mseveni Wa Uganda Nchi Yake Haina Ndege, Katumia Ndege Ya Kenya Kuja Tanzania Kufanya Ziara Ya Kiserikali. Sembuse Ww Gwajima??!!
Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.
Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.
Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.
Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.
Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?
Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?
Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?
Serikali Ya Awamu Ya 5 Kwa Kujibana Sana, Ndo Imenunua Bomberdier 2. Mseveni Wa Uganda Nchi Yake Haina Ndege, Katumia Ndege Ya Kenya Kuja Tanzania Kufanya Ziara Ya Kiserikali. Sembuse Ww Gwajima??!!
Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.
Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.
Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.
Kwa hiyo unaiambia serikali haijakuwa serious kufanya kazi yake juu ya shutma za Gwajima kuhusika na biashara ya mihadarati? Acha maneno yako ya kihemko we kijana. Serikali iko makini jinsi usivyoweza kujua.Gwajim ni muuza unga, anajulikana. Serikali ikiwa serious inaweza kumshika huyu dogo mara moja. Makala na vitabu anavyodai kuuza havilingani na utajiri wake hata kidogo....kuna uwalakini hapa kwani haviingii kichwani hata iweje. Gwajima ni msanii tu na anatumia nguvu za giza kuwarubuni misukule yake ndiyo maana wanaamini kila akisemacho hata kama ni cha kijinga wao wako tayari kulia na kupiga kelele juu yake.
Uko sahihi sana mkuu. Gwajima ni mhuni na hana hata vinasaba vya uaskofu. Nasikitika hata serikali kwa nini hawafungii hawa watu. Ni mataoeli na wauza unga wakubwa. Gwajima hatakiwi kuwa uraiani huyu Mrundi. Gwajima anawadanganya watu ni msukuma but not true. Ni wakimbizi haramu wa toka Burundi wakaishi usukumani na kujipa majina ya kisukuma. Serikali ichunguze uraia wake. Ana Dada yake ni Dr. Wa PHD but ni mstaarabu sana.Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.
Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?
Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?
Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?
Serikali Ya Awamu Ya 5 Kwa Kujibana Sana, Ndo Imenunua Bomberdier 2. Mseveni Wa Uganda Nchi Yake Haina Ndege, Katumia Ndege Ya Kenya Kuja Tanzania Kufanya Ziara Ya Kiserikali. Sembuse Ww Gwajima??!!
Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.
Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.
Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.
Huo ni uongo. Kina kakobe waliomtangulia wangekuwa mamilionea mpaka sasa. Wako wapi?Mbona ameweka wazi jamani utajiri wake tatizo la watu wana mihemko sana yaani. Tafuta clip zake zipo U tube ameanika kila kitu.. Mimi kwa sasa nina imani nae kwasababu kama angekuwa na ajenda mbaya au angekuwa anauza huo unga asingekuwa na ujasiri wa kuwafyatua wakuu namna hii..ila ninachooba kwa sasa wauza unga ndio wapo kimyaaa nahisi hata nchi wamekimbia
Kwa hiyo unaiambia serikali haijakuwa serious kufanya kazi yake juu ya shutma za Gwajima kuhusika na biashara ya mihadarati? Acha maneno yako ya kihemko we kijana. Serikali iko makini jinsi usivyoweza kujua.
Wanasema akina nani!? Kwama hauna uhakika na swali lako usiulize mkuuAlisema bei ya chopa na pesa ya chopa aliipataje, hammer, magorofa na majumba ya kifahari wanayosema kuwa anayo, Costa kibao